Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukiniita nikifika nacheeeka, yaani huo ndio msaada nitakaokupa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Usijali ndugu yangu nikifika si unanijua, nanunua kesi kwanza then baadae ndio nitakuuliza kwani ugomvi unahusu nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba baada ya kesi ndiyo unauliza?
Nimecheka[emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuhusu kikuu umenikumbusha jana ila Lee kuan kitu alikuwa anataka na hiko kitu kipo kikuu tu namwambia nikuagizie ooh hapana kama kipo kikuu yaani anahisi vitu vya kikuu vya uwongo haviendani na picha yaani nimefanya kazi kumuelekeza naona imeshindikana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila iphone yangu anataka aninunulie kutoka kikuu!! Mwambie anachokitafuta atakipata.
 
Sasa mbona mimi huwa hunihadithii? Usijali sitoscreen shot[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana auntie hata ukiscreenshot sijali wala nini kuna mtu aliniambi shunie picha zako zinasambaa nikamjibu ndio vizuri cha nitrend tu kwa watu alichoka
 
Back
Top Bottom