Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,047
Hahahahaha naona unanitisha sasaHiyo zawadi atakupatia Auntie
Wewe subiri utaniambia![]()
Hahahahaha naona unanitisha sasaHiyo zawadi atakupatia Auntie
Wewe subiri utaniambia![]()
Hakuna wa kukusuta HS....Nimekuta mentions zenu, nusu nitupe simu. Nikajua nasutwa leo![]()

Dota unataka kusema umementioniwa na wachambaji?
Bora mie sikukumention![]()






nacheka sana
Mbona Uzi, nitamchek Melo chap...
Namwambie ananichafua huyo uufute, tunachafuana![]()




na vile Melo hanaga hiyanaNa tunaolala zaidi ya saa10 je?
Sijakumention mtu Chake..kuna nn tena
Acha wivu binti.Hiyo zawadi atakupatia Auntie
Wewe subiri utaniambia![]()
Jamani unapitaje juu juu dear yaani mda sana sijakuona nimesema leo ngoja tu nimwite mrembo mzuri mzuriAwwh this is so sweet of you
Miss you too dearest
Nipo aisee sema huwa napita kwa juu juu .

Naenda kuomba ukoo kwa Dangote, ndugu gani hamlipi madeni yangu?Ndio ndugu zako huna namna
Ni yule Aunty wa BunjuNimehamia karibu na nyie ili niwe nawafuatilia vizuri kabla hamjatuchafulia ukoo na vitu vya ajabu. Wakati ukoo wetu saafi kabisa.




Kumbe si maki alimuitaujue utasababisha mzee mtu chake aje ajue ameitwa

Jamanii pole auntie yanguAuntie usilete ya majoka
Nina phobia na hawa viumbe.
He he he he..tuliaHovyooo!!
Bahati nzuri melo mwenyewe anapenda ubuyu, atauacha acha hadi ufikishe page elfu mbili.
Mbona Uzi, nitamchek Melo chap...
Namwambie ananichafua huyo uufute, tunachafuana![]()
Kazini kuna mtu anayo ujue
Utaivalisha Cover la Iphone halisi![]()



jamanii me siwezi kabisa acha tu nitumie wereva yangu
Hii ni kweli kabisaaa bila hata utafiti, ukifikiria tu unaona ni kweli. Mafurushi.




Sasa mbona mimi huwa hunihadithii? Usijali sitoscreen shotAuntie upo kama mimi woiiii nikiwa na kitu nalia halafu nikimwadithia rafiki au ndugu napata unafuu



