Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Mimi nimeokoka na nampenda BWANA aiseee 😁😁😁😁
Mimi nimeokoka na nampenda BWANA aiseee 😁😁😁😁
Nimehamia karibu na nyie ili niwe nawafuatilia vizuri kabla hamjatuchafulia ukoo na vitu vya ajabu. Wakati ukoo wetu saafi kabisa.auntie kwani tupo karibu na wewe me najua ulipo mpaka tupande bus kuzaliwa mwisho wa mwaka auntie ni baraka sana
Kila nikiona Kikuu naikumbuka Iphone yakoIphone ya kikuu
Mkwe popote ulipo God is watching you.
Hovyooo!!Nakosaje sasa Auntie Akeee..
Hiyo ni lazima, huna hata haja ya kuniomba...
Mimi huyu nakosaje?
Yangu keki Inifikie tu Auntie..Shughuli tutajua mbele kwa mbele..Hata kwenye chupa za kijani huko![]()
Ndio Shunie, nimeona nianze tu kuwatandika viboko maana mnajua kuniweza![]()






Huyo Mzoee AuntieKhaaaa auntie jamani hajamaanisha mtu chake mtu

Hiyo zawadi atakupatia AuntieAuntie mbona unanitisha sasa




