Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo tu kuna mtu kaniuliza mbona unafanana ma Maki ni ndugu yako? Nimekuruka futi elfu7 sikujui mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka balaa...

Hata ukinikana wewe bado ni ndugu yangu tu...tunaweza tusiongee miaka/ miezi ila siku ukifunga kauli/ nikifunga kauli, utanizika/ nitakuzika bila kupenda[emoji2]

Huwezi kuukana Undugu...Urafiki sawa....

Sasa huyo uliyemwambia kwamba hunijui nenda katengue kauli yako[emoji2]
 
Halafu nimekumbuka, si nakudai wewe!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kila siku unanidai...
Hebu sema hapa naweza kupata watu wakanilipia hilo deni[emoji2]
Au ni ile zawadi kama uliyonitumia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maana ndugu yangu akili zako wewe[emoji114]
 
Back
Top Bottom