Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,479
- 176,527
Wewe hata usipokosea una makosa, sawa na dhambi ya asili
Sasa kosa langu nini jamani?

Uliona wapi undugu unakataliwa?Yaani sikukuu mkajificha wenyewe!! Sitaki undugu na nyie mimi.

Woiiiiii!!!!Wewe hata usipokosea una makosa, sawa na dhambi ya asili![]()

Leo tu kuna mtu kaniuliza mbona unafanana ma Maki ni ndugu yako? Nimekuruka futi elfu7 sikujui mimi.Uliona wapi undugu unakataliwa?![]()
Ukicheka kwa sauti tu unalo, hivyo tulia hivyo hivyooo.
Nacheka kwa tahadhari hapa...
Halafu nimekumbuka, si nakudai wewe!!!Woiiiiii!!!!![]()
Leo tu kuna mtu kaniuliza mbona unafanana ma Maki ni ndugu yako? Nimekuruka futi elfu7 sikujui mimi.







Halafu nimekumbuka, si nakudai wewe!!!











Yaani sikukuu mkajificha wenyewe!! Sitaki undugu na nyie mimi.



hivi auntie kuweza
Ila auntie kwa akili zako unaweza ukawa umemruka kweliLeo tu kuna mtu kaniuliza mbona unafanana ma Maki ni ndugu yako? Nimekuruka futi elfu7 sikujui mimi.
Haya madeni kila siku hayaishiHalafu nimekumbuka, si nakudai wewe!!!
Ila auntie kwa akili zako unaweza ukawa umemruka kweli






Acha tu Auntie...Haya madeni kila siku hayaishi

Ajaribu aone..
Ananijua vyema Auntie
Na vichambo vyake hivyo angejua hajui




