Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo tu kuna mtu kaniuliza mbona unafanana ma Maki ni ndugu yako? Nimekuruka futi elfu7 sikujui mimi.

Nimecheka balaa...

Hata ukinikana wewe bado ni ndugu yangu tu...tunaweza tusiongee miaka/ miezi ila siku ukifunga kauli/ nikifunga kauli, utanizika/ nitakuzika bila kupenda

Huwezi kuukana Undugu...Urafiki sawa....

Sasa huyo uliyemwambia kwamba hunijui nenda katengue kauli yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom