Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Sijapendabasi umependa hata kimoyo moyo
Nimemuelewa tu Christian 🤣
Sijapendabasi umependa hata kimoyo moyo
cocastic navyokuambiaga uweke akiba ya maneno uwe unasikia
Ila sio kesi, mnaweza kupindua meza kibabe… mnadaiwa bao nyingine 3
Cc Saint Anne





hatuna mzuka na FA kabisaaa, ndo maaana kipara aliweka kikosi kile, majembe yote nje. Focus n EPL na UCL.Endelea kujipa moyohatuna mzuka na FA kabisaaa, ndo maaana kipara aliweka kikosi kile, majembe yote nje. Focus n EPL na UCL.
Huyu dogo huwaga anajikalia tu lecture room pale yudizim hafatilii Mpira ila anaongea tu ooh tunanyanyua kwapa
Ila wanaweza kutulipa.. Pep siyo mtu mzuri.




mpira nimeanza kufatilia tangu hujazaliwaa wee, Huyo liverkuku aombee tukutane final UCL, atajua hajui.Endelea kujipa moyo
Na ungejua FA ilivyo na pochi nene kuwazidi haoo
....my lovely Makiwendo. Mbona nakuappreciate hivyo na zaidi kila wakati, yaani kabla ya jua kuzama nakuappreciate maneno mazuri haya na nyongeza naweka. Uko poa lakini
Ushindweee we mtoto mdogompira nimeanza kufatilia tangu hujazaliwaa wee,
Uwe na adabu, nenda final kakutane na cheltako.
Tulicheza kukamilisha ratiba tyuuh, hatuna mzuka na FA.
...hujambo ABJAhsante jamani![]()
Kila lenye heri liambatane nao

Auntie unaendeleaje?basi umependa hata kimoyo moyo
Mtumie pmMungu azidi tu kuniwekea mpenzi wangukwa ajili yangu na familia yako
nakupenda Lee wangu



We ndio mchawi wetu auntieKila lenye heri liambatane nao![]()
Auntie sijambo naendelea vizuri kwakweliAuntie unaendeleaje?