Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyu Bishoo anajua sana kazi yake, anafelishwa tu na Mabitozi wenzake huku Tanzania ambao wanawaza tu kuwa na six packs na photoshoot[emoji3]

Mambo ya kusema Mungu hakupi vyote ni dalili tu za kuficha udhaifu wetu[emoji3]
Screenshot_20220416-190324_Instagram.jpg
 
MAJOGOO HAOO FAINALI FA [emoji471]!!
.
FT: MAN CITY 2-3 LIVERPOOL
9’—[emoji460]️ Konate
17’—[emoji460]️ Mane
45’—[emoji460]️ Mane
47’—[emoji460]️ Grealish
90’—[emoji460]️ Silva
Screenshot_20220416-195128_Instagram.jpg
 
Huyu dogo huwaga anajikalia tu lecture room pale yudizim hafatilii Mpira ila anaongea tu ooh tunanyanyua kwapa[emoji1787]

Ila wanaweza kutulipa.. Pep siyo mtu mzuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] mpira nimeanza kufatilia tangu hujazaliwaa wee,
Uwe na adabu, nenda final kakutane na cheltako.

Tulicheza kukamilisha ratiba tyuuh, hatuna mzuka na FA.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] mpira nimeanza kufatilia tangu hujazaliwaa wee,
Uwe na adabu, nenda final kakutane na cheltako.

Tulicheza kukamilisha ratiba tyuuh, hatuna mzuka na FA.
Ushindweee we mtoto mdogo
Say it louder “ CHELSEA 🔥

Unalijua vizuri lakini kombe la FA 😝😝
 
Back
Top Bottom