Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyu Bishoo anajua sana kazi yake, anafelishwa tu na Mabitozi wenzake huku Tanzania ambao wanawaza tu kuwa na six packs na photoshoot

Mambo ya kusema Mungu hakupi vyote ni dalili tu za kuficha udhaifu wetu
Screenshot_20220416-190324_Instagram.jpg
 
MAJOGOO HAOO FAINALI FA !!
.
FT: MAN CITY 2-3 LIVERPOOL
9’—️ Konate
17’—️ Mane
45’—️ Mane
47’—️ Grealish
90’—️ Silva
Screenshot_20220416-195128_Instagram.jpg
 
Huyu dogo huwaga anajikalia tu lecture room pale yudizim hafatilii Mpira ila anaongea tu ooh tunanyanyua kwapa

Ila wanaweza kutulipa.. Pep siyo mtu mzuri.
mpira nimeanza kufatilia tangu hujazaliwaa wee,
Uwe na adabu, nenda final kakutane na cheltako.

Tulicheza kukamilisha ratiba tyuuh, hatuna mzuka na FA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom