Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani acha kabisaa sikutegemea kabisaa

Ila mmegundua kuna watu humu tunaishia nao tu!unaafiki mwingi na wanapenda watu wagombane sana maana mpk watu wanakosea[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]wanatuma humu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]


Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mwisho wake Mungu anawaumbua kama alivyowaumbua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] screenshots utume makapuku kweli
 
Hahahahaaaaaa...uunge ID eeeh? Sema waoga wangeandika na ID zao tunazozijua bwana. Wamejazana ujinga huko PM
Na mimi hiki ndio ninachokitaka uje na I'd yako yaani ukija na I'd yako ya nyuma sina mda na wewe halafu unaniogopa mbona me nipo na ya shunie apa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenda huko..
Utanionea bure..Imagine nina miaka 8 JF Ban naisikia tu...
Hata kipindi kile JF imechafuka( nadhani unakumbuka) watu walikuwa wanalimwa Ban si mchezo....
Leo unipe Ban kirahisi tu Shem? Aaaaah Bwana!!!![emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom