Makapuku Forum

Makapuku Forum

Screenshot_20220401-071529_Opera%20Mini.jpg
Screenshot_20220401-071547_Opera%20Mini.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kwahiyo unanisimulia habari za mafurushi au nikununie?
Auntie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamekuja na I'd yao nyingine jana mimi nataka waje na I'd zao kongwe hizi za nyuma ya mlango wala sina mda nazo kabisa waje na I'd zao kongwe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikichukia sasa!!!..Nina Bibi yangu huyo Mzaa Mama akikuelezea utacheka mno..

Balaa huwa naruka juu kama Mmasai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nacheka kama mazuri[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie natamani nikuone unavyoruka
 
Yaani kazi zimenibana bina nashindwa hata kupumua[emoji1787][emoji1787]

Sina hili wala lile naona tu stoo magodauni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ukiwa jf huwezi pata stress
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] handbags zimewaumiza pale chumbani tu pa kubadilisha nguo na habdbags narudia tena sikai store [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapa au kule nimecheka [emoji1][emoji1][emoji1]kuna mtu aliskirini shoti akajisahau akatuma humu sijui alikua anamtumia tobaaa!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani huyu dada kaumbuka wanaanzaga hivyohivyo halafu tunavipata alikuwa anatuma pm akatuma makapuku umbea huu unaweza muuwa mtu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani huyu dada kaumbuka wanaanzaga hivyohivyo halafu tunavipata alikuwa anatuma pm akatuma makapuku umbea huu unaweza muuwa mtu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana Jana[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]aliko anajutaa!umbea mbaya sana!
Wasimamia kucha wapo wengi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom