Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,006
- 150,541
Mnyama kesho kutwa
Mnyama kesho kutwa
Auntie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamekuja na I'd yao nyingine jana mimi nataka waje na I'd zao kongwe hizi za nyuma ya mlango wala sina mda nazo kabisa waje na I'd zao kongweKwahiyo unanisimulia habari za mafurushi au nikununie?
Ndio bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila jana nimepewa kazi ya shell nimeshukuru nimeshatoka kwenye ujobless
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama nakuonaNa nimepitwa kweli, jamani jamani!! Mnisimulie basi[emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaingia saa ngapiAmemaliza kuhudumia mifugo yake[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie natamani nikuone unavyoruka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikichukia sasa!!!..Nina Bibi yangu huyo Mzaa Mama akikuelezea utacheka mno..
Balaa huwa naruka juu kama Mmasai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nacheka kama mazuri[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] handbags zimewaumiza pale chumbani tu pa kubadilisha nguo na habdbags narudia tena sikai store [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani kazi zimenibana bina nashindwa hata kupumua[emoji1787][emoji1787]
Sina hili wala lile naona tu stoo magodauni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ukiwa jf huwezi pata stress
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani huyu dada kaumbuka wanaanzaga hivyohivyo halafu tunavipata alikuwa anatuma pm akatuma makapuku umbea huu unaweza muuwa mtu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapa au kule nimecheka [emoji1][emoji1][emoji1]kuna mtu aliskirini shoti akajisahau akatuma humu sijui alikua anamtumia tobaaa!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Anne nimecheka[emoji4]
Wacha niendelee na kazi iliyonileta.
Kumwaga likes na kusoma" je wajua??"
Naona na mchumba angu hapa sasa amewakosea nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Hili Penzi hadi Shetani analiogopa[emoji23]
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]He he he..
Jaza nafasi iliyoachwa wazi[emoji2]
Nimecheka sana Jana[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]aliko anajutaa!umbea mbaya sana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaani huyu dada kaumbuka wanaanzaga hivyohivyo halafu tunavipata alikuwa anatuma pm akatuma makapuku umbea huu unaweza muuwa mtu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]