Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mnyama kesho kutwa
Mnyama kesho kutwa
AuntieKwahiyo unanisimulia habari za mafurushi au nikununie?



wamekuja na I'd yao nyingine jana mimi nataka waje na I'd zao kongwe hizi za nyuma ya mlango wala sina mda nazo kabisa waje na I'd zao kongwe
Ndio bwana


ila jana nimepewa kazi ya shell nimeshukuru nimeshatoka kwenye ujobless
Na nimepitwa kweli, jamani jamani!! Mnisimulie basi![]()






kama nakuona
Nikichukia sasa!!!..Nina Bibi yangu huyo Mzaa Mama akikuelezea utacheka mno..
Balaa huwa naruka juu kama MmasaiNacheka kama mazuri
![]()




Auntie natamani nikuone unavyoruka
Yaani kazi zimenibana bina nashindwa hata kupumua
Sina hili wala lile naona tu stoo magodauni
Yaani ukiwa jf huwezi pata stress




handbags zimewaumiza pale chumbani tu pa kubadilisha nguo na habdbags narudia tena sikai store 



Hapa au kule nimechekakuna mtu aliskirini shoti akajisahau akatuma humu sijui alikua anamtumia tobaaa!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app




Yaani huyu dada kaumbuka wanaanzaga hivyohivyo halafu tunavipata alikuwa anatuma pm akatuma makapuku umbea huu unaweza muuwa mtu. 


Wacha niendelee na kazi iliyonileta.
Kumwaga likes na kusoma" je wajua??"




Anne nimecheka
Naona na mchumba angu hapa sasa amewakosea nini
Hili Penzi hadi Shetani analiogopa![]()




Nimecheka sana JanaYaani huyu dada kaumbuka wanaanzaga hivyohivyo halafu tunavipata alikuwa anatuma pm akatuma makapuku umbea huu unaweza muuwa mtu.
![]()




aliko anajutaa!umbea mbaya sana!