Makapuku Forum

Makapuku Forum

nipo kwenye makelele nakucheki muda si mrefu ankoo
....makelele ya Ukraine na Russia yanasumbua sana, imagine USA watu hawajui kama timu ya taifa imekwalifai wedikapu? Mangula kabwaga manyanga, nguvu ya mamba kumayi, mamba wamerudi kundini kenge wanashangilia hafu viboko wanasikia baridi wanataka kuhamia baharini

Anko Lee nna salamu zako, sio za yule ni za huyu niko naye hapa.

Wengine wote mnaolifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo nasema Happy Almost Furahiday

mkwepu jr , makaveli10 , MALCOM LUMUMBA ,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom