Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaha!nakua mpole maana kuna mtu namheshimu sana na kuniamini sasa Mimi nikiongea ntaongea kwa ushahidi afu mambo yatakua meusi sasa!!!!!afu Id yenyewe naijuashoga kumbe anajifanyaga mtuu!!kumbe mnaafiki na I'd 2,Leo mwanaume kesho mwanamke

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ooooooh.. Mwandiko niliushtukia mapema sana.
Then Babe akawa analike Comment
 
Kuna mtu Mods wamepita naye....
He he he...
reymage faida za kukaa kimya umeziona? Naona na comment baadhi zilianza kufutwa
nafikir hvyooo!!atarudi kivingine yule maana anatafuta la rohoni watu!!
Wamepita nae!ila nilikua namheshimu sana shogaa kumbe mnaafiki vile kaahh!!
Naona kwa sasa ataingia na I'd yake nyingine...
Kukaa kimya kwio sana
Humu hakuna mke mwenziwe nna wangu ananipendaa!!!na watoto wangu!
Afu sisheagi mume na washamba miyeee!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
nafikir hvyooo!!atarudi kivingine yule maana anatafuta la rohoni watu!!
Wamepita nae!ila nilikua namheshimu sana shogaa kumbe mnaafiki vile kaahh!!
Naona kwa sasa ataingia na I'd yake nyingins

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

Mwenzangu!!! Tukaanza kutukanwa na sehemu zetu nyeti utadhani anazijua
 
balaa kabisaa yaani ujue nilikua nacheka sana !ila mi sipendagi ugomvi sana napendaga sana amani ila ugomvi nauweza mnooo!!!
Ametafuta shaari kachokaa


Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Afadhali ya wewe unapenda Amani na Ugomvi unauweza

Mimi sipendi Ugomvi jamani...tena kama sasa hivi..Nimekuwa ni mtu wa ku'ignore vitu si kawaida....Ila ikitokea..UwiiiiNa hiki kigugumizi sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom