Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Uzma upoo ...mahaba ndi ndi ndiShem lake mimi....
Habari ya Uzima wenu?
Uzma upoo ...mahaba ndi ndi ndiShem lake mimi....
Habari ya Uzima wenu?
🤣🤣🤣🤣🤣Naaaam....
Penzi lipo site![]()
Nipigee watu ban
Ili ufanyeje Shem?
Eiiiiishhh!!!!Nipigee watu ban
Naanza na wewe🤣🤣🤣Eiiiiishhh!!!!
Hapana Shem...Unawaacha tu..nao wapunguze sumu mwilini..Woiiiiii!!!
Ndio ili nikufiche
Kunipa Ban?
Ndio ili nikufiche







Kuna mtu nataka nimuibie simu🤣🤣
Kwenda huko..
Utanionea bure..Imagine nina miaka 8 JF Ban naisikia tu...
Hata kipindi kile JF imechafuka( nadhani unakumbuka) watu walikuwa wanalimwa Ban si mchezo....
Leo unipe Ban kirahisi tu Shem? Aaaaah Bwana!!!!![]()
Aunt
Nani huyo tena? Aunty?
Aunt






🤣🤣🤣🤣
Umnyanganye kwa nini sasa?
Utaweza kuivumilia hata nusu saa kweli?![]()
Bhita ni bhita mura.Hii vita hii![]()
Uzuri leo haingiiBhita ni bhita mura.
Yule aunt mnonko yupo kweli?
Hahahahaaaaaa...uunge ID eeeh? Sema waoga wangeandika na ID zao tunazozijua bwana. Wamejazana ujinga huko PMNagoogle hapa jinsi ya kuwa moderator...