Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa mara nyingine tena Eden Hazard amepata majeraha ambayo yatamlazimu kufanyiwa upasuaji wa kifudi cha mguu na kuwa nje kwa angalau mwezi mmoja.
Hii hapa ni orodha ya baadhi ya wachezaji ambao muda wote wapo hatarini kupata majeraha.
Screenshot_20220329-163700_Instagram.jpg
Screenshot_20220329-163724_Instagram.jpg
Screenshot_20220329-163801_Instagram.jpg
Screenshot_20220329-163826_Instagram.jpg
 
Baadhi ya mafao kwa mnufaika wa bima iliyozinduliwa leo na NBC Bank na TFF

Endapo mhusika akipata ugonjwa wa kudumu utakaomzuia kucheza mpira au kuhudumu katika timu yake, fao lake litakuwa kati ya Tsh milioni tatu (3) haddi milioni 30

Ikitokea mchezaji amepata ulemavu wa kudumu utokanao na ajali au majanga, fao lake litakuwa kati ya Tsh. Milioni 10 hadi 100

Endapo itatokea kifo kwa mhusika kutokana na ajali au maradhi mengine fao lake ni kati ya Tsh. milioni 10 hadi 100 ambapo fao litatolewa kwa familia ya mhusika.
Screenshot_20220329-164312_Instagram.jpg
 
Hatima ya nchi 5 za Afrika zitakazowakilisha kwenye Kombe la Dunia mwaka huu Qatar itajulikana leo kwa mechi 5 za mtoano katika viwanja tofauti.

[emoji3591] Nigeria vs Ghana - saa 2:00 usiku

[emoji3591] Senegal vs Misri - saa 2:00 usiku

[emoji3591] Algeria vs Cameroon - saa 4:30 usiku

[emoji3591] Morocco vs DR Congo - saa 4:30 usiku

[emoji3591] Tunisia vs Mali - saa 4:30 usiku
Screenshot_20220329-164737_Instagram.jpg
 
Shunie mma shunie majiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] utake utaniongelea tu usitake utaniongelea ipo hivyoooooo

Halafu jobless mimi navaa gram 10 shingoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] usishindane na mimi kabisa kukaaa na mbwa wenzio kuniongelea ongelea View attachment 2168205
Lazima Heineken zilihusika hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao

Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai store [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii

Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni
Jamani wasambaa mmeanza kuwa kama Wahaya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepata auntie tutaenda Indira ghandi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unapoamua kunisema ujue kuvaa hata silver basi mtu mshamba upo uswekeni uko unaanza tu kuniongelea hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah
 
Back
Top Bottom