Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa mara nyingine tena Eden Hazard amepata majeraha ambayo yatamlazimu kufanyiwa upasuaji wa kifudi cha mguu na kuwa nje kwa angalau mwezi mmoja.
Hii hapa ni orodha ya baadhi ya wachezaji ambao muda wote wapo hatarini kupata majeraha.
Screenshot_20220329-163700_Instagram.jpg
Screenshot_20220329-163724_Instagram.jpg
Screenshot_20220329-163801_Instagram.jpg
Screenshot_20220329-163826_Instagram.jpg
 
Baadhi ya mafao kwa mnufaika wa bima iliyozinduliwa leo na NBC Bank na TFF

Endapo mhusika akipata ugonjwa wa kudumu utakaomzuia kucheza mpira au kuhudumu katika timu yake, fao lake litakuwa kati ya Tsh milioni tatu (3) haddi milioni 30

Ikitokea mchezaji amepata ulemavu wa kudumu utokanao na ajali au majanga, fao lake litakuwa kati ya Tsh. Milioni 10 hadi 100

Endapo itatokea kifo kwa mhusika kutokana na ajali au maradhi mengine fao lake ni kati ya Tsh. milioni 10 hadi 100 ambapo fao litatolewa kwa familia ya mhusika.
Screenshot_20220329-164312_Instagram.jpg
 
Hatima ya nchi 5 za Afrika zitakazowakilisha kwenye Kombe la Dunia mwaka huu Qatar itajulikana leo kwa mechi 5 za mtoano katika viwanja tofauti.

Nigeria vs Ghana - saa 2:00 usiku

Senegal vs Misri - saa 2:00 usiku

Algeria vs Cameroon - saa 4:30 usiku

Morocco vs DR Congo - saa 4:30 usiku

Tunisia vs Mali - saa 4:30 usiku
Screenshot_20220329-164737_Instagram.jpg
 
auntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao

Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai store wakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii

Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni
Jamani wasambaa mmeanza kuwa kama Wahaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom