Nigeria vs Ghana - saa 2:00 usiku
Senegal vs Misri - saa 2:00 usiku
Algeria vs Cameroon - saa 4:30 usiku
Morocco vs DR Congo - saa 4:30 usiku
Tunisia vs Mali - saa 4:30 usikuGod izi wochingi yu.Ndioooo auntie![]()
Lazima Heineken zilihusika hapaShunie mma shunie majiiiiutake utaniongelea tu usitake utaniongelea ipo hivyoooooo
Halafu jobless mimi navaa gram 10 shingoniusishindane na mimi kabisa kukaaa na mbwa wenzio kuniongelea ongelea View attachment 2168205



Kiunoni
Jinga wewe...Cheni unavaa wapi wewe?

Nitaacha laana, shauri zenu.
Niache...Halafu wivu siyo..
Mwenzako nimeshapewa offer hapa...
Jamani wasambaa mmeanza kuwa kama Wahayaauntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao
Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai storewakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii
Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni
umepata auntie tutaenda Indira ghandi
unapoamua kunisema ujue kuvaa hata silver basi mtu mshamba upo uswekeni uko unaanza tu kuniongelea hovyo
![]()






daaahKwani tunaokaa stoo tumekukosea nini auntie? Sijapenda




Hii kauli inanitesa jamani, ufunguo wa chumba changu nitakuwa natembea nao kwenye nyonyo.
Story aside, kwahiyo auntie umevaa milioni mbili shingoni eti?









Kwahiyo yule kaka akasema mwenzie akaa store?
Kama mimi jana kila nikisoma zile message zao napata hasira.halafu nipo hivyo nikikumbuka tu naanza upya huyu mbwa aombee tu nipate ban
Kwani dunia yetu hii sasaNa bado...
Kiswaswadu ndiyo kinakufaa wewe...
