Makapuku Forum

Makapuku Forum

🟨 | UGENINI PAGUMU
.
Wachezaji 14 wa Simba wana kadi za njano katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika huku kadi 11 kati ya hizo wameonyeshwa katika mechi zao za ugenini na tatu wameonyeshwa Kwa Mkapa.
Screenshot_20220329-135959_Instagram.jpg
 
[emoji599] FEI NJE WIKI MBILI
.
Kiungo fundi wa mpira wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ hatakuwepo kwenye mchezo dhidi ya Azam FC utakaopigwa Aprili 6, kutokana na kupata majeraha akiwa kwenye kambi ya timu ya taifa ‘Taifa Stars’.
.
Fei aliumia goti na kushindwa kuendelea kufanya mazoezi ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Sudan utakaochezwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Mkapa.
.
Baada ya kupata majeraha hayo alifanyiwa vipimo vya kina na kubainika tatizo lake litamweka nje ya uwanja kwa muda usiopungua wiki mbili na alipewa ruhusa ya kutoka kambini kwenda nyumbani kwao Zanzibar. [[emoji993]Mwanaspoti]
Screenshot_20220329-140116_Instagram.jpg
 
Shunie mma shunie majiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] utake utaniongelea tu usitake utaniongelea ipo hivyoooooo

Halafu jobless mimi navaa gram 10 shingoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] usishindane na mimi kabisa kukaaa na mbwa wenzio kuniongelea ongelea View attachment 2168205
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Take Us slow Auntie!!! Pls...

Eti Shunie mma..Shunie majii[emoji23][emoji28][emoji23][emoji23]
Nimecheka hivyo...
Auntie naomba hata gram moja basi..Nami nitoe hivi vyuma chakavu maskioni[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Take Us slow Auntie!!! Pls...

Eti Shunie mma..Shunie majii[emoji23][emoji28][emoji23][emoji23]
Nimecheka hivyo...
Auntie naomba hata gram moja basi..Nami nitoe hivi vyuma chakavu maskioni[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao

Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai store [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii

Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao

Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai store [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii

Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie jamani...Kwamba shingo Imechafuka[emoji3]

Kwa hiyo Hereni nitapata Aunty Akee? [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Auntie jamani...Kwamba shingo Imechafuka[emoji3]

Kwa hiyo Hereni nitapata Aunty Akee? [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepata auntie tutaenda Indira ghandi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unapoamua kunisema ujue kuvaa hata silver basi mtu mshamba upo uswekeni uko unaanza tu kuniongelea hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shunie mma shunie majiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] utake utaniongelea tu usitake utaniongelea ipo hivyoooooo

Halafu jobless mimi navaa gram 10 shingoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] usishindane na mimi kabisa kukaaa na mbwa wenzio kuniongelea ongelea View attachment 2168205
Auntie kuna mkoba wangu humu ndani siuoni halafu kuna mahali palee nauona. Na cheni yangu ukimaliza kudolishia irudi haraka sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Take Us slow Auntie!!! Pls...

Eti Shunie mma..Shunie majii[emoji23][emoji28][emoji23][emoji23]
Nimecheka hivyo...
Auntie naomba hata gram moja basi..Nami nitoe hivi vyuma chakavu maskioni[emoji23]
Aah wewe uvaage hivyo vyuma chakavu tu, ukivaa hata robo gramu nitapumulia wapi mimi[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie nimeshakuwa maji kama watu wanaamua kukaa tu na kukuzungumzia badala wazungumze habari zao

Yaani wapige hesabu laki 2×10= jibu watakalopata ndio navaa shingoni tu
Halafu kingine nawakumbusha mimi sikai store [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati unaponisema ujue unayemsema yupo vipi shunie mma shunie majiiiii

Auntie gram moja ujue laki 2 hiyo umepata hereni
Auntie malipo ni hia hia nakwambia. Unavaa milioni mbili wakati mimi simu nimefunga na "barabendi" [emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepata auntie tutaenda Indira ghandi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] unapoamua kunisema ujue kuvaa hata silver basi mtu mshamba upo uswekeni uko unaanza tu kuniongelea hovyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahsante Auntie akee[emoji8][emoji8]Utanipitia huku kwa Bwana Mwajiri[emoji3]

Uswekeni tena[emoji23][emoji23]Auntie basi[emoji2]Mstahi sasa...Tumalize Kwaresma..Akiendelea tena..Nitakuambia cha kufanya..
 
Back
Top Bottom