Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Aah wewe uvaage hivyo vyuma chakavu tu, ukivaa hata robo gramu nitapumulia wapi mimi![]()





Niache...Halafu wivu siyo..
Mwenzako nimeshapewa offer hapa...
Aah wewe uvaage hivyo vyuma chakavu tu, ukivaa hata robo gramu nitapumulia wapi mimi![]()





Ahsante Auntie akeeUtanipitia huku kwa Bwana Mwajiri
Uswekeni tenaAuntie basi
Mstahi sasa...Tumalize Kwaresma..Akiendelea tena..Nitakuambia cha kufanya..



Auntie we ni nani nisikusilize hivi Indira ghandi kwenyewe anapajua 
au basi tuishie hapaAuntie malipo ni hia hia nakwambia. Unavaa milioni mbili wakati mimi simu nimefunga na "barabendi"![]()
Na bado...
Hii kauli inanitesa jamani, ufunguo wa chumba changu nitakuwa natembea nao kwenye nyonyo.
Story aside, kwahiyo auntie umevaa milioni mbili shingoni eti?






Kwamba Ufunguo unakaa kwenye nyonyo!!!Woooozah!!!!
Mashangazi mna nini?Kwamba Ufunguo unakaa kwenye nyonyo!!!
Ndiyo kama hivyo..Shingoni Auntie anatembea na 2M...Hapo hajakuwekea gharama za kuiosha...Utaweza kweli wewe ninavyokujua..




na ubahili wa auntie yangu sijui kama ataweza
Napajua Vyema Auntie...Auntie we ni nani nisikusilize hivi Indira ghandi kwenyewe anapajua
au basi tuishie hapa

Huyu Bwana huyuna ubahili wa auntie yangu sijui kama ataweza

Basi tu...
Auntie ukoukoNapajua Vyema Auntie...
Si kule kama unaenda Kitumbini?AU?
Kuna lile jengo wamejaa wauza hivyo vito tu?Na bei zao siyo haba![]()



nilimaanisha huyu wa uswekeni anapajua au basi
Huyu Bwana huyuBasi tu...
Nanyamaza Auntie...niliwahi kupewa zawadi hiyo...kila nikikumbuka hapa nacheka...
Nina kazi mimi na huyu ndugu yangu jamani![]()






Sipajui Auntie..Auntie ukoukonilimaanisha huyu wa uswekeni anapajua au basi


Sipajui Auntie..
Ni wapi huko kwanza...Maana hilo jina linachekesha jamani![]()






shamba ukoo auntie