Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii kauli inanitesa jamani, ufunguo wa chumba changu nitakuwa natembea nao kwenye nyonyo.

Story aside, kwahiyo auntie umevaa milioni mbili shingoni eti?

Mashangazi mna nini? Kwamba Ufunguo unakaa kwenye nyonyo!!!

Ndiyo kama hivyo..Shingoni Auntie anatembea na 2M...Hapo hajakuwekea gharama za kuiosha...Utaweza kweli wewe ninavyokujua..
 
.
20220301_180716.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom