Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mashangazi mna nini? [emoji23][emoji23]Kwamba Ufunguo unakaa kwenye nyonyo!!!

Ndiyo kama hivyo..Shingoni Auntie anatembea na 2M...Hapo hajakuwekea gharama za kuiosha...Utaweza kweli wewe ninavyokujua..
Aaah mie ninunulieni tu zile za buku. Hiyo ikipotea nitafufua mizimu yote kwa kilio.

Funguo inabidi ikae kwenye nyonyo lasivyo ni balaa.
 
We mbwaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo sio dukani hapo ni chumbani kwangu [emoji847] na hilo ni kabati langu la handbags [emoji1787][emoji1787][emoji1787] siishi store mimi na ukianza kuniongelea fananisha maisha yangu na yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2168507
@Espy Eroni Makiwendo kukuche sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
We mbwaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo sio dukani hapo ni chumbani kwangu [emoji847] na hilo ni kabati langu la handbags [emoji1787][emoji1787][emoji1787] siishi store mimi na ukianza kuniongelea fananisha maisha yangu na yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2168507
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo tusi Lee anahusika 100% Aki[emoji23]

My Rich Aunty huyo..[emoji8][emoji8]
 
We mbwaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo sio dukani hapo ni chumbani kwangu [emoji847] na hilo ni kabati langu la handbags [emoji1787][emoji1787][emoji1787] siishi store mimi na ukianza kuniongelea fananisha maisha yangu na yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2168507
Auntie naomba basi LV moja hapo?[emoji2]
 
Back
Top Bottom