Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,478
- 176,499
Aaah mie ninunulieni tu zile za buku. Hiyo ikipotea nitafufua mizimu yote kwa kilio.
Mashangazi mna nini?Kwamba Ufunguo unakaa kwenye nyonyo!!!
Ndiyo kama hivyo..Shingoni Auntie anatembea na 2M...Hapo hajakuwekea gharama za kuiosha...Utaweza kweli wewe ninavyokujua..
Funguo inabidi ikae kwenye nyonyo lasivyo ni balaa.



na hilo ni kabati langu la handbags 
