Makapuku Forum

Makapuku Forum


Mashangazi mna nini? Kwamba Ufunguo unakaa kwenye nyonyo!!!

Ndiyo kama hivyo..Shingoni Auntie anatembea na 2M...Hapo hajakuwekea gharama za kuiosha...Utaweza kweli wewe ninavyokujua..
Aaah mie ninunulieni tu zile za buku. Hiyo ikipotea nitafufua mizimu yote kwa kilio.

Funguo inabidi ikae kwenye nyonyo lasivyo ni balaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom