Makapuku Forum

Makapuku Forum

SIMBA MASHABIKI 35,000 KAMA KAWAIDA
.
Meneja Habari na Mawasiliano wa timu hiyo, Ahmed Ally amesema wameruhusiwa kuingiza mashabiki 35, 000 na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) katika mchezo huo ikiwa ni idadi inayotumika siku zote japo walitamani zaidi kutokana na umuhimu wa mechi yenyewe.
Screenshot_20220327-142021_Instagram.jpg
 
Saa chache baada ya Alex Kabangu kumtaja Hassan Mwakinyo kuwa ndiye bondia bora nchini Tanzania, kambi ya bondia Twaha Kiduku imemjibu bondia huyo wa DR Congo ambaye siku wa kumkia leo amechapwa kwa pointi na Kiduku.

Kabangu muda mfupi baada ya kuchapwa na Kiduku kwa pointi mjini Morogoro, alimtaja Mwakinyo kuwa ndiye bondia bora kati ya mabondia wa Tanzania.

"Kwa Tanzania, Mwakinyo ndiye bondia bora, hakuna zaidi yake," alisema Kabangu, kauli ambayo kocha wa Kiduku, Power Iranda amesema ni ya mkosaji.

"Yeye akubali akatae amepigwa bila ubishi, hayo ya kumtaja Mwakinyo kuwa ndiye bondia bora ni maneno ya mkosaji tu," amesema kocha huyo wa muda mrefu wa Kiduku.

Amesema Kabangu kumtaja Mwakinyo kuwa ni bora baada ya kupigwa na Kiduku ni kama anataka kutengeneza njia ya kucheza pambano na bondia huyo.

"Anataka tu kuwa kwenye midomo ya mashabiki wa ngumi, kusema Mwakinyo ndiye bondia bora kwenye pambano la Kiduku ni kutengeneza tu sintofahamu kwa mashabiki, ingawa binafsi namuona Kiduku ni bora zaidi.
Screenshot_20220327-152314_Instagram.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Saa chache baada ya Alex Kabangu kumtaja Hassan Mwakinyo kuwa ndiye bondia bora nchini Tanzania, kambi ya bondia Twaha Kiduku imemjibu bondia huyo wa DR Congo ambaye siku wa kumkia leo amechapwa kwa pointi na Kiduku.

Kabangu muda mfupi baada ya kuchapwa na Kiduku kwa pointi mjini Morogoro, alimtaja Mwakinyo kuwa ndiye bondia bora kati ya mabondia wa Tanzania.

"Kwa Tanzania, Mwakinyo ndiye bondia bora, hakuna zaidi yake," alisema Kabangu, kauli ambayo kocha wa Kiduku, Power Iranda amesema ni ya mkosaji.

"Yeye akubali akatae amepigwa bila ubishi, hayo ya kumtaja Mwakinyo kuwa ndiye bondia bora ni maneno ya mkosaji tu," amesema kocha huyo wa muda mrefu wa Kiduku.

Amesema Kabangu kumtaja Mwakinyo kuwa ni bora baada ya kupigwa na Kiduku ni kama anataka kutengeneza njia ya kucheza pambano na bondia huyo.

"Anataka tu kuwa kwenye midomo ya mashabiki wa ngumi, kusema Mwakinyo ndiye bondia bora kwenye pambano la Kiduku ni kutengeneza tu sintofahamu kwa mashabiki, ingawa binafsi namuona Kiduku ni bora zaidi.
View attachment 2165985

Babe shunie
 
Style yako ya kuwa tu unamwaga story mwenyewe inafurahisha

Jambo la ukimwi limenishtua nauogopaa tu, na vile sijui kama upo au haupo
kuna mbwa zinakera sana yaani wanakaaa tu uko pm kwao wanakutungia habari eti shunie anataka kumwandikia thread mtu ana ukimwi hivi hawa mbwa wananichukuliaje mimi lakini kunitungia story zao yaani unabaki unashangaa kusikia hizo habari maana ndio mara yako ya kwanza na evidence juu yaani huyu dada anikome jamani kunifatafata
 
kuna mbwa zinakera sana yaani wanakaaa tu uko pm kwao wanakutungia habari eti shunie anataka kumwandikia thread mtu ana ukimwi hivi hawa mbwa wananichukuliaje mimi lakini kunitungia story zao yaani unabaki unashangaa kusikia hizo habari maana ndio mara yako ya kwanza na evidence juu yaani huyu dada anikome jamani kunifatafata
 
kuna mbwa zinakera sana yaani wanakaaa tu uko pm kwao wanakutungia habari eti shunie anataka kumwandikia thread mtu ana ukimwi hivi hawa mbwa wananichukuliaje mimi lakini kunitungia story zao yaani unabaki unashangaa kusikia hizo habari maana ndio mara yako ya kwanza na evidence juu yaani huyu dada anikome jamani kunifatafata
Penye wengi kuna mengi..

Humu unaweza sikia kitu cha kuhusishwa nacho mpaka we mwenyewe ukashtuka hiki ni changu kweli au wamekosea jina!!

Muhimu ni kupotezea, ukiona ni too much unalala nae mbele tu 😎
 
Auntie!!!
Nini kimetokea tena jamani?
Nimeogopa!!!
Auntie acha tu yaani kuna mdada kanitungia habari zake uko nabaki nashangaa tu eti nataka kuweka thread nimseme mtu ana ukimwi unajua unabaki kushangaa sababu habari huzijui yaani unabaki unashangaa

Mara shunie hivi mara shunie vile we dada nini unanitaka lakini naomba uniache nitaweka chart zako ooh mimi naongea kwa uthibitisho shauri yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom