Auntie!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie yangu furahi tu maswali sitaki jamani ila auntie Espy Eroni hatapitwa namjua mimi
Bwana bwana!!!!!!!Roho yangu [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Wacha bwana!!!!Niliforce kujificha kule kumbe chaka langu ni hapa, sasa napewa amani mapenzi yasiyo na mipaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie niache na chaka langu la zamani yaani kama namuona auntie Espy Eroni nimesema maswali sitakiiii
Sasa hivi sitaki vitenge, nataka aifoni.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie nimecheka sana sana kwakweli sijui naona kikubwa uhai tu mwenyewe nimejiona nimeshakuwa mchumba wa mtu hata sielewi nimefikaje fikaje kwenye uchumba
Akiona auntie yangu Espy Eroni atadai vitenge halafu mwambie asiniulize maswali sitaki
Auntie yangu huyooooo [emoji847][emoji847]Auntie!!
Auntie niachie babe wanguBwana bwana!!!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] iphone tenaSasa hivi sitaki vitenge, nataka aifoni.
Kuna lipi tena my ndugu?Ila jf [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] unaweza ukatungiwa habari we mwenyewe huzijui ndio unashangaa unapozisikia kwamba zinakuhusu wewe aloooo
Rafiki zako kina nani? Na thread ya nini? Kuna kaumbea kananipita hujanishtua?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti shunie na rafiki zake wanataka kuweka thread mimi huyu mnikomeeee na story zenu za kutunga uko pm ebu achaneni na mimi ongeeni mambo yenu
Ndugu yangu mambo ya jf acha tu umekaa huna hili wala lile unaambiwa unaambiwa ooh mnataka kuweka thread sijui mumseme mtu ana ukimwi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]Kuna lipi tena my ndugu?
Embu chafua kidogo tuone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ebu ongeeni ya kwenu muache kuniongelea kabisa yaani nitachafua hali ya hewa
Rafiki zangu si ndio nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shunie na kundi languRafiki zako kina nani? Na thread ya nini? Kuna kaumbea kananipita hujanishtua?
Kuna mtu kampima mwingine au wanatafuta attention?Ndugu yangu mambo ya jf acha tu umekaa huna hili wala lile unaambiwa unaambiwa ooh mnataka kuweka thread sijui mumseme mtu ana ukimwi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28]
Unajua mtu upo kimya watu wanakuchokonoa tu mpaka jamani narudia mnikome halafu nawakumbusha mimi sio jobless [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkipeana habari muwe na uhakika shenzy zenuEmbu chafua kidogo tuone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]