Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Naamini atakusikiliza ...Auntie!!!..
Hebu mpotezee Mama...Atakupotezea muda wako tu..
Kwamba mambo ya Ukimwi tena? Mbona ni kama Issue za kitoto sana Aunt akee?
Hivi wanakujua vyema lakini?Hawajui ni vile siku hizi umeamua tu kutulia zako hapa Makapuku? Hawajui zama zile uliwahi kumfanya mtu akimbie ID hadi leo
Nacheka jamani...BTW..Potezea Auntie..
Naelewa Shem...Shem darling....mrembo wangu akichafukwaa huwa ni shida ...

Wapotezee Auntie..yaani auntie watu wananichokonoa na habari zao za kutunga ujue halafu sina mda nao mbwa hawa
Yaani kama thread nitaweka pamoja na chart zake si anataka thread nitamfurahisha shenzy huyu
Nimejitulia zangu makapuku watu wananifata fata
Weee hapo ndo huwa nampa adhabu mpka asira zikwisheeNaelewa Shem...
Hali kama hii utanyimwa hata haki zako za msingi kabisa...![]()
Namsikiliza auntie yanguNaamini atakusikiliza ...
😘😘😘😘😘😘😘Namsikiliza auntie yangu
Jamani jamani auntieNaelewa Shem...
Hali kama hii utanyimwa hata haki zako za msingi kabisa...![]()




Etii unaweza ninyima ?Jamani jamani auntie![]()
Sawa auntie yanguWapotezee Auntie..

Ndiyo maana Nakupenda...Namsikiliza auntie yangu
Jamani jamani auntie![]()







Kunyimwa ni kunyimwa tu Shem...Etii unaweza ninyima ?

Roho yanguu
Ndiyo maana Nakupenda...


nakupenda pia auntie akee



Kuna mtu anatumia account yangu Auntie..siyo mimi nimeandika hapo![]()




