Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Kuna mtu kampima mwingine au wanatafuta attention?




najua sasa mwenyewe hizi habari zimenishangaza sana yaani natungiwa habari ambazo hata sizijui ujue
Kuna mtu kampima mwingine au wanatafuta attention?




najua sasa mwenyewe hizi habari zimenishangaza sana yaani natungiwa habari ambazo hata sizijui ujueWanikome. Tabia za kishamba shamba toka lini? Kwanza naanzaje yani? Nasisitiza tena WANIKOME kama wamemaanisha na mie niko kwenye ujinga wao.Rafiki zangu si ndio nyieshunie na kundi langu
Wajinga sana hawa watuWanikome. Tabia za kishamba shamba toka lini? Kwanza naanzaje yani? Nasisitiza tena WANIKOME kama wamemaanisha na mie niko kwenye ujinga wao.
Achana nao my ndugu. Kuna watu wanapenda kujipa umuhimu kwenye maisha ya wenzao.najua sasa mwenyewe hizi habari zimenishangaza sana yaani natungiwa habari ambazo hata sizijui ujue
Wamekusema jobless? Tunajuana sana huku eeeehUnajua mtu upo kimya watu wanakuchokonoa tu mpaka jamani narudia mnikome halafu nawakumbusha mimi sio joblessmkipeana habari muwe na uhakika shenzy zenu





Ndio kama hawa wajinga eti nimuanzishie mtu thread inanihusu nini mimi waache kunitungia habari zao za uwongo tena wanikome kabisaAchana nao my ndugu. Kuna watu wanapenda kujipa umuhimu kwenye maisha ya wenzao.
Sikia kabla hujazipost fanya kunisogezea WhatsApp na mimi nione ya wanaJF.Narudia tena endeleeni na ujinga wenu uko pm chart zenu nitaziweka hapa
Yaani siogopi yeyote shenzy nyie
Wamekusema jobless? Tunajuana sana huku eeeeh![]()



Eenh jobless wajinga hawa mimi mwenzenu sitegemei hela ya kupewa na mwanaume
Sikia kabla hujazipost fanya kunisogezea WhatsApp na mimi nione ya wanaJF.










Kweli umekereka mpaka umeandikaEenh jobless wajinga hawa mimi mwenzenu sitegemei hela ya kupewa na mwanaume





.
Waendelee tu na mambo zao chart zao nitaziweka wanikome kabisa kunitungia habari zao za uwongo wajinga hawaKweli umekereka mpaka umeandika.
Sema nini, wapotezee kwanza wanakuogopa. Wangekua wanajiamini wangekuandikia kama hivi. Ushawaongezea cha kujadili PM wakiendelea tena mwaga ubuyu. Daaah Sema zile chat nimeshtuka.
Wanawake huku msipotumia akili mtavurugwa na mtu mmoja wakati nyie mnavurugana mwenzenu anawinda mboga nyingine.
Naomba wasitiri kwa hili maana zile chat ukizileta huku uwiiii. Ila nyie mnaohusika mnajijua. Huyo mwanaume wenu anawavuruga. Ni vile tu sio wajanja kujua tabia za wanaume wasiojiamini.
Usimpe hiyo airtime my ndugu. Mpotezeeeee. She is not worth ityaani mnanifurahisha na habari zenu mnazonitungia hivi we dada nini unanitafuta endelea nitakufurahisha kwa kuweka chart zako
Wanakera sana hawa mbwa na habari zao kutungaUsimpe hiyo airtime my ndugu. Mpotezeeeee. She is not worth it
Asante binamu na kwako piaWikend njema wadau na mwanzo mzuri wa wiki la mwisho la mwezi tambazi March