Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna mtu kampima mwingine au wanatafuta attention?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] najua sasa mwenyewe hizi habari zimenishangaza sana yaani natungiwa habari ambazo hata sizijui ujue
 
Narudia tena endeleeni na ujinga wenu uko pm chart zenu nitaziweka hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani siogopi yeyote shenzy nyie
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eenh jobless wajinga hawa mimi mwenzenu sitegemei hela ya kupewa na mwanaume
Kweli umekereka mpaka umeandika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sema nini, wapotezee kwanza wanakuogopa. Wangekua wanajiamini wangekuandikia kama hivi. Ushawaongezea cha kujadili PM wakiendelea tena mwaga ubuyu. Daaah Sema zile chat nimeshtuka.

Wanawake huku msipotumia akili mtavurugwa na mtu mmoja wakati nyie mnavurugana mwenzenu anawinda mboga nyingine.

Naomba wasitiri kwa hili maana zile chat ukizileta huku uwiiii. Ila nyie mnaohusika mnajijua. Huyo mwanaume wenu anawavuruga. Ni vile tu sio wajanja kujua tabia za wanaume wasiojiamini.
 
Kweli umekereka mpaka umeandika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sema nini, wapotezee kwanza wanakuogopa. Wangekua wanajiamini wangekuandikia kama hivi. Ushawaongezea cha kujadili PM wakiendelea tena mwaga ubuyu. Daaah Sema zile chat nimeshtuka.

Wanawake huku msipotumia akili mtavurugwa na mtu mmoja wakati nyie mnavurugana mwenzenu anawinda mboga nyingine.

Naomba wasitiri kwa hili maana zile chat ukizileta huku uwiiii. Ila nyie mnaohusika mnajijua. Huyo mwanaume wenu anawavuruga. Ni vile tu sio wajanja kujua tabia za wanaume wasiojiamini.
Waendelee tu na mambo zao chart zao nitaziweka wanikome kabisa kunitungia habari zao za uwongo wajinga hawa
 
Screenshot_20220327-065452_Instagram%20Lite.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Back
Top Bottom