Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Rangi mnachagua wenyewe
Rangi mnachagua wenyewe
HahahahahahahaEeenhnajua utaniambia vizuri tukionana
Au tuwapangie ?Nyieee auntie yangu kama nakuona![]()
Niliforce kujificha kule kumbe chaka langu ni hapa, sasa napewa amani mapenzi yasiyo na mipakaauntie niache na chaka langu la zamani yaani kama namuona auntie Espy Eroni nimesema maswali sitakiiii






















Kama ni siku umenichekesha ni leo Auntie..Nimecheka jamani


Najua tu utaniambiaHahahahahahaha



kwahiyo ukawa unatumiwa vivuli babe wanguPole Auntie..Nilikumention kabla ya hapo nikaona kimya auntie yangu
Hahahahahahaha alijuaa namba DZ...











Tutawapangia bwanaAu tuwapangie ?





Alililililili....Roho yangu![]()
Si bora vivuliiiiNajua tu utaniambiakwahiyo ukawa unatumiwa vivuli babe wangu







Dompo tunamtumia jpili auTutawapangia bwana
Sakayo ananiambia yupo mcheza kwaito maarufu![]()
Hili balaa ni zito shem lake...Alijifanya hajasikiliza wimbo wa alikiba ...chake lake ni lee

Kama ni siku umenichekesha ni leo Auntie..Nimecheka jamani
Na mimi siulizi swali..Ila kuna mambo yanachekesha jamani...
Aki Mapenzi wewe!!! Enjoy Auntie....Enjoy..
Sent using Jamii Forums mobile app






Auntie yangu furahi tu maswali sitaki jamani ila auntie Espy Eroni hatapitwa namjua mimi








Nyieeee!!!!Niko hapa mcutee wanguu ...nakupendaa mpaka najionea wivuu






Alililililili....
Mwaka wetu huu!!! Tupo live...
Na watuache jamani...
Sent using Jamii Forums mobile app





Auntie bwana nacheka sanaNimekaribia.Salama mkuu karibu sana
Nampendaaa sana huyu kiumbee anajuaa sema tu ukivurugee wangu sijui huwa tunachezewaa tuvurugane