Makapuku Forum

Makapuku Forum

Auntie....
Hebu subiri kwanza!!!
Kwa hiyo huu Mwaka harusi tunayo au hatuna? Au kikubwa Uhai Auntie?[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie nimecheka sana sana kwakweli sijui naona kikubwa uhai tu mwenyewe nimejiona nimeshakuwa mchumba wa mtu hata sielewi nimefikaje fikaje kwenye uchumba

Akiona auntie yangu Espy Eroni atadai vitenge halafu mwambie asiniulize maswali sitaki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Auntie nimecheka sana sana kwakweli sijui naona kikubwa uhai tu mwenyewe nimejiona nimeshakuwa mchumba wa mtu hata sielewi nimefikaje fikaje kwenye uchumba

Akiona auntie yangu Espy Eroni atadai vitenge halafu mwambie asiniulize maswali sitaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyewe nimecheka sana wakati naandika...
Na huyo Espy Eroni akiona utajua hujui Auntie..Na hivi anapenda zawadi huyo[emoji23][emoji23]Mdogo wangu yule sijui ana nini jamani[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom