Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Lilikuwa limebaki shatimuulize alipokuwepo alikuwa hayapati
,alikuwa mojaLilikuwa limebaki shatimuulize alipokuwepo alikuwa hayapati
,alikuwa moja
🤣🤣🤣🤣🤣Hahah kumbe unajua ana michepuko
Najua sasa nikiiona hatoniona tena baba wawiliHahah kumbe unajua ana michepuko

Nakusalimia pia auntie akee mimiNawasalimia Wapendwa wangu...
Nigendako umeupiga mwingi mno Rafiki
Sent using Jamii Forums mobile app





Auntie yangu nionee mchumba angu Lee jamaniNawasalimia Wapendwa wangu...
Nigendako umeupiga mwingi mno Rafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha...Nakusalimia pia auntie akee mimi
Huyo baba wawili mchochezi sana![]()

Hahaaha ana vituko sana hivi umeshawahi muona akibebishana kama sio yeye
Auntie....Auntie yangu nionee mchumba angu Lee jamani

Auntie....
Hebu subiri kwanza!!!
Kwa hiyo huu Mwaka harusi tunayo au hatuna? Au kikubwa Uhai Auntie?
Sent using Jamii Forums mobile app




Auntie nimecheka sana sana kwakweli sijui naona kikubwa uhai tu mwenyewe nimejiona nimeshakuwa mchumba wa mtu hata sielewi nimefikaje fikaje kwenye uchumbaNamjua huyo...Hahaaha ana vituko sana hivi umeshawahi muona akibebishana kama sio yeye
Namjua huyo...
Kuna mahali aiandika kitu...kila nikikumbuka nacheka sana..
Sent using Jamii Forums mobile app



nilimuona juzi kati anabebishana hapa nimebaki nashangaa tuAuntie nimecheka sana sana kwakweli sijui naona kikubwa uhai tu mwenyewe nimejiona nimeshakuwa mchumba wa mtu hata sielewi nimefikaje fikaje kwenye uchumba
Akiona auntie yangu Espy Eroni atadai vitenge halafu mwambie asiniulize maswali sitaki







Mdogo wangu yule sijui ana nini jamani
nilimuona juzi kati anabebishana hapa nimebaki nashangaa tu













Hahah alishaachana nayo kwa sasaNajua sasa nikiiona hatoniona tena baba wawili
Hahah Nipo rafiki yangu,Nawasalimia Wapendwa wangu...
Nigendako umeupiga mwingi mno Rafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaha ana vituko sana hivi umeshawahi muona akibebishana kama sio yeye


aah ShunieHahaha hausahau rafikiNamjua huyo...
Kuna mahali aiandika kitu...kila nikikumbuka nacheka sana..
Sent using Jamii Forums mobile app