
Heshima yako binamu, Unaendeleaje wewe na familia yako hapo ndugu yangu?...ha aha ahahaha, anko baaada ya kukutafuta sana mjini kumbe unapatikana space.
Basi hizo salamu zitume kwa njia yaetu ya mawasiliano.
Mzima lakini kaka mjomba
Amefika nani Shunie?
Baba wawili subiri saa tisa bwanaAmefika nani Shunie?