Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Mashemasi 13 wa Jimbo Katoliki la Moshi wakiwa wamelala kifudifudi wakati wakila kiapo cha daraja la upadri kama ishara ya kujitolea maisha yao kwa Mungu.
Ibada ya upadirisho imeongozwa na Askofu wa Jimbo Katoliki la Moshi, Askofu Ludovick Minde akiongozana na mapadri wa Jimbo hilo. Picha na Janeth Joseph.
Ibada ya upadirisho imeongozwa na Askofu wa Jimbo Katoliki la Moshi, Askofu Ludovick Minde akiongozana na mapadri wa Jimbo hilo. Picha na Janeth Joseph.




