Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ni kweli wamekosea bwana mbona wanaume ndio wanongoza na hayo magonjwa jamaniUnataman hii tafiti waseme wamekosea eeh![]()
Ni kweli wamekosea bwana mbona wanaume ndio wanongoza na hayo magonjwa jamaniUnataman hii tafiti waseme wamekosea eeh![]()
Pole eeh motot mzuri...Bado bwana![]()
Haisadii sitaki mimiPole eeh motot mzuri...
Nifanye nini ili utake?Haisadii sitaki mimi
Hahahhaah unajua cha kufanyaNifanye nini ili utake?
🙂 Natumae hang over imekwisha...Hahahhaah unajua cha kufanya
Haijaisha eti🙂 Natumae hang over imekwisha...
Kumbe nchi ina hela hivi? Daaaah"Mabenki yanatukopesha lakini riba zake ni kubwa, mimi mwenyewe nimekopa juzi kama mwezi mmoja hivi nimekopa MILIONI 600 katika MILIONI 600 riba ni asilimia 19, hivi tunalipaje?, kipindi kilichopita nilikopa BILIONI 1.532, nimemaliza kulipa wamenipa barua ya kunishukuru riba peke yake wameandika pale kunishukuru MILIONI 918, hiyo ni BILIONI nyingine, tunaomba benki waweze kupunguza riba kama mama jana alivyosema"——— Deo Kasenyenda Sanga, Mbunge wa Makambako. View attachment 1818689
Thubutuuui yako uwe cheusi mangala wee? HapanaJe wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangalamtoto mlito
Tobaaaaaah khaaaah.
Heeeeh kumbe haya mambo yameanza zamani sana, lol
HahahhahhaaHeeeeh kumbe haya mambo yameanza zamani sana, lol
Tusiokuwa na hela ni mimi na weweKumbe nchi ina hela hivi? Daaaah