Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Watu watatu wa familia moja ambao ni Mama na Watoto wake wawili wamezikwa leo kwenye makaburi ya Kondo Bahari Beach jijini Dar es salaam siku chache baada ya kuuwawa nyumbani kwao Masaki Dar es salaam, mauaji ambayo Houseboy/Mlinzi anatuhumiwa kuyafanya.
Mama anaitwa Emilly Mutaboyerwa na Watoto ambao ni Daniel Mutaboyerwa (15) na Damita Mutaboyerwa (13), tukio la mauaji hayo linadaiwa kutendeka June 9, 2021 mtaa wa Maryknoll Masaki DSM, bado tunaendelea kufatilia taarifa zaidi kuhusu mauaji haya.
Mama anaitwa Emilly Mutaboyerwa na Watoto ambao ni Daniel Mutaboyerwa (15) na Damita Mutaboyerwa (13), tukio la mauaji hayo linadaiwa kutendeka June 9, 2021 mtaa wa Maryknoll Masaki DSM, bado tunaendelea kufatilia taarifa zaidi kuhusu mauaji haya.
mtoto mlito