Makapuku Forum

Makapuku Forum

20210509_065517.jpg
20210509_065617.jpg
 
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesikitishwa na kilichotokea jana na kupelekea mchezo wa Simba na Yanga kushindwa kufanyika, TFF imewaomba Wadau na Mashabiki wa soka kuwa watulivu wakati huu wakiwa wanashughulikia kikanuni suala hilo.
20210509_140423.jpg
20210509_140439.jpg
 
Nawakumbusha tena, hakuna kiasi cha pombe ambacho ni salama wakati wa ujauzito, sio bia tu hata mbege na ulanzi..kwa kifupi hauruhusiwi hata kuonja aina yoyote ya pombe ukiwa mjamzito... pombe wakati wa ujauzito inaweza kusababisha matatizo kwenye ubongo na inaweza kuathiri ukuaji..hali hiyo kitaalam inaitwa Fetal Alcohol syndrome kama anavyoonekana kwenye picha...! Sawa sawa!

Imeandikwa na Dr Paul Masua

Babe ukiona hata nimeshika chupa ya kijani kwenye mimba itupe jamani
20210509_194341.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom