Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
AiseeNasimamia ukucha usiku natetema akishikaga ukuta nashindwaga kuhema![]()
AiseeNasimamia ukucha usiku natetema akishikaga ukuta nashindwaga kuhema![]()
Ha ha ha..Nishamsomea dua akicheat anagandana, ananasana![]()
Babu Juma ndio nani shunie?Babu juma akicheza kwakwaru me ni kilio.![]()
Mkuu bwana
Sina namna wacha nipambane na hali yangu



Uitwe nani sasaAlafu ulikuwa usiku
Tumetoka mbali sistahili kuitwaa mkuu kwa kweli sema ndo bhas
Mkuu,kumbe umepambania kombe toka kitamboNilikuwa nakuja huko sema moyo ukasema utalipuaa bomu nikausikilizaa ....
Daaaaah ile siku mm wa kunidanganya imedowload picha ?
Eeenhkama namuona baba wawili akija apa na mauchochezi yake
Utakumbuka vyote ila huwezi kumbuka surprise ya birthday


nimeacha uchochezi aisee
XUitwe nani sasa
Baba wawili jamani maswali gani hayaBabu Juma ndio nani shunie?
Hhaha alikujibu nini hapaMkuu,kumbe umepambania kombe toka kitambo
Kuacha uchochezi hauwezi hata kidogonimeacha uchochezi aisee
Weuweeeeeeeee baba wawili ukuje umuone mjomba ako amekujaHeri ya Mwaka mpya wadau wa Makapuku



Kumb unapenda kudanganywa weyeee...!acha nikacheze na babe wangu anidanganye danganye tunafurahi wenyewe maisha yanaendelea mapenzi bila uwongo haviwezekaniki
![]()