Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo nimeamuliwa ila ujue una maksudi siwezi ongea hapa kwa hapa nikae kimya na kucheka tu

Nitakuja ongea WhatsApp
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mnyonge mnyongeni na mm hapa ndo angalau natuliza yaliyo moyoni....
Unasahau mapema 😂😂😂😂 tumejipaka zile dawa za kuua mbu usku mara kibao pale ulipokuwaa unapapendaa
 
Kwahiyo umeshayatuliza ya moyoni nataka kuja WhatsApp kutuma vn.
Whatsap hapana zitakuja sms 40 mfululizooo...hapa hapa leo zamu yangu najuaa baadae utaanza kumuimbia baby wako...huku ukiniumiza maksudiiiii

Umesahau niligongaa gar ya mtu kwa nyuma 😂😂😂😂😂 nikitafuta parking nzuri maeneo ya ........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom