Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
Haupiti mitaa yako kula wale kuku unaowapendaSina namna wacha nipambane na hali yangu
Haupiti mitaa yako kula wale kuku unaowapendaSina namna wacha nipambane na hali yangu
Nina mda nisiwe muongo ...Haupiti mitaa yako kula wale kuku unaowapenda
Ila unapapendaga hapo toka zamani tuNina mda nisiwe muongo ...
Sema ya makange ya pale kwenye fantachaz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo yameniteka
Nani alipafanya nipapendee ? Kama sio ww mkuu wangu wa nguvuIla unapapendaga hapo toka zamani tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi ni mimi kweli na ile car wash ya pembeni si ndio ilikusogeza karibu na hapo ukipeleka gari pale unaenda kupumzika hapoNani alipafanya nipapendee ? Kama sio ww mkuu wangu wa nguvu
Mkuu wacha uongoo 😂😂😂😂 kumbuka vizuri sehem yetu pendwa yenye historia hapa maji madogo hapa fanta[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi ni mimi kweli na ile car wash ya pembeni si ndio ilikusogeza karibu na hapo ukipeleka gari pale unaenda kupumzika hapo
Dah umenikumbusha mbali jamaniMkuu wacha uongoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbuka vizuri sehem yetu pendwa yenye historia hapa maji madogo hapa fanta
Kipindi hicho ata baiskeli sina[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi unakumbuka ile siku boda boda wako ananipeleka kituonii na kupambana na daladala 😂😂😂😂Dah umenikumbusha mbali jamani
Hahha nimekumbuka rafiki yangu yupo poa amehamia kimaraHivi unakumbuka ile siku boda boda wako ananipeleka kituonii na kupambana na daladala [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Rafik yako sjui yuko poa yule huwa namkumbuka
Alafu ulikuwa usiku 😂😂😂Hahha nimekumbuka rafiki yangu yupo poa amehamia kimara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga wewe nimecheka sanaAlafu ulikuwa usiku [emoji23][emoji23][emoji23]
Tumetoka mbali sistahili kuitwaa mkuu kwa kweli sema ndo bhas
Inaumaa sio mchezo....mara tutafutee tv kariakoo woooooiiiiiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jinga wewe nimecheka sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Leo nimeamuliwa ila ujue una maksudi siwezi ongea hapa kwa hapa nikae kimya na kucheka tuInaumaa sio mchezo....mara tutafutee tv kariakoo woooooiiiiiiiii
Umesahau zile nyamachoma za mtaa wa agrey
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mnyonge mnyongeni na mm hapa ndo angalau natuliza yaliyo moyoni....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Leo nimeamuliwa ila ujue una maksudi siwezi ongea hapa kwa hapa nikae kimya na kucheka tu
Nitakuja ongea WhatsApp
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwahiyo umeshayatuliza ya moyoni nataka kuja WhatsApp kutuma vn. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnyonge mnyongeni na mm hapa ndo angalau natuliza yaliyo moyoni....
Unasahau mapema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumejipaka zile dawa za kuua mbu usku mara kibao pale ulipokuwaa unapapendaa
Whatsap hapana zitakuja sms 40 mfululizooo...hapa hapa leo zamu yangu najuaa baadae utaanza kumuimbia baby wako...huku ukiniumiza maksudiiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwahiyo umeshayatuliza ya moyoni nataka kuja WhatsApp kutuma vn. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nacheka mimi jamaniiii leo nimetuma vn bwanaWhatsap hapana zitakuja sms 40 mfululizooo...hapa hapa leo zamu yangu najuaa baadae utaanza kumuimbia baby wako...huku ukiniumiza maksudiiiii
Umesahau niligongaa gar ya mtu kwa nyuma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikitafuta parking nzuri maeneo ya ........
Nmeionaaa ila siifungui kwanza ndefu 😂😂😂😂 itanitoaa kwenye mood ya kuendeleaa kukumbusha mema nilifanyia moyo wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nacheka mimi jamaniiii leo nimetuma vn bwana