Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Haupiti mitaa yako kula wale kuku unaowapendaSina namna wacha nipambane na hali yangu
Haupiti mitaa yako kula wale kuku unaowapendaSina namna wacha nipambane na hali yangu
Nina mda nisiwe muongo ...Haupiti mitaa yako kula wale kuku unaowapenda
Ila unapapendaga hapo toka zamani tuNina mda nisiwe muongo ...
Sema ya makange ya pale kwenye fantachazndo yameniteka
Nani alipafanya nipapendee ? Kama sio ww mkuu wangu wa nguvuIla unapapendaga hapo toka zamani tu
Nani alipafanya nipapendee ? Kama sio ww mkuu wangu wa nguvu







hivi ni mimi kweli na ile car wash ya pembeni si ndio ilikusogeza karibu na hapo ukipeleka gari pale unaenda kupumzika hapo
Mkuu wacha uongoo 😂😂😂😂 kumbuka vizuri sehem yetu pendwa yenye historia hapa maji madogo hapa fantahivi ni mimi kweli na ile car wash ya pembeni si ndio ilikusogeza karibu na hapo ukipeleka gari pale unaenda kupumzika hapo
Dah umenikumbusha mbali jamaniMkuu wacha uongookumbuka vizuri sehem yetu pendwa yenye historia hapa maji madogo hapa fanta
Kipindi hicho ata baiskeli sina![]()
Hivi unakumbuka ile siku boda boda wako ananipeleka kituonii na kupambana na daladala 😂😂😂😂Dah umenikumbusha mbali jamani
Hahha nimekumbuka rafiki yangu yupo poa amehamia kimaraHivi unakumbuka ile siku boda boda wako ananipeleka kituonii na kupambana na daladala
Rafik yako sjui yuko poa yule huwa namkumbuka
Alafu ulikuwa usiku 😂😂😂Hahha nimekumbuka rafiki yangu yupo poa amehamia kimara
Alafu ulikuwa usiku
Tumetoka mbali sistahili kuitwaa mkuu kwa kweli sema ndo bhas







Jinga wewe nimecheka sana
Inaumaa sio mchezo....mara tutafutee tv kariakoo woooooiiiiiiiiiJinga wewe nimecheka sana
Inaumaa sio mchezo....mara tutafutee tv kariakoo woooooiiiiiiiii
Umesahau zile nyamachoma za mtaa wa agrey





Leo nimeamuliwa ila ujue una maksudi siwezi ongea hapa kwa hapa nikae kimya na kucheka tu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mnyonge mnyongeni na mm hapa ndo angalau natuliza yaliyo moyoni....Leo nimeamuliwa ila ujue una maksudi siwezi ongea hapa kwa hapa nikae kimya na kucheka tu
Nitakuja ongea WhatsApp
mnyonge mnyongeni na mm hapa ndo angalau natuliza yaliyo moyoni....
Unasahau mapematumejipaka zile dawa za kuua mbu usku mara kibao pale ulipokuwaa unapapendaa



Kwahiyo umeshayatuliza ya moyoni nataka kuja WhatsApp kutuma vn. 




Whatsap hapana zitakuja sms 40 mfululizooo...hapa hapa leo zamu yangu najuaa baadae utaanza kumuimbia baby wako...huku ukiniumiza maksudiiiiiKwahiyo umeshayatuliza ya moyoni nataka kuja WhatsApp kutuma vn.
![]()
Whatsap hapana zitakuja sms 40 mfululizooo...hapa hapa leo zamu yangu najuaa baadae utaanza kumuimbia baby wako...huku ukiniumiza maksudiiiii
Umesahau niligongaa gar ya mtu kwa nyumanikitafuta parking nzuri maeneo ya ........





nacheka mimi jamaniiii leo nimetuma vn bwana





Nmeionaaa ila siifungui kwanza ndefu 😂😂😂😂 itanitoaa kwenye mood ya kuendeleaa kukumbusha mema nilifanyia moyo wakonacheka mimi jamaniiii leo nimetuma vn bwana