Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
UNAAMBIWA Ni kosa kumtumia Mtu ujumbe mfupi wa matangazo ya kibiashara au huduma flani ya kibiashara bila ridhaa yake (sms), adhabu ni faini isiyopungua milioni 10 au Jela mwaka mmoja au vyote kwa pamoja, hii ni kwa mujibu wa Sheria ya Miamala ya kieletroniki ya mwaka 2015 Tanzania. (
@avis.legal )
@avis.legal )
