Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mpaka uweke bango ni kwamba umekosa kabisa au sijui inakuwaje na watu huku wanazama pm moja kwa moja
Yeah amekosa kabisa ndio mana weng wanaoweka umri umeenda 28+
Kwa wanaume Kuongea ndio tatizo kubwa
Me binafsi siwez ongea na mdada nisie mjua Sana Sana Salam bas, Mdomo unakua mzito kweli Aisee

I'm on that good kush and alcohol
 
Kwa hiyo wataka kusema ridhiki ni mafungu 7... na ushakula yote 7 bila kuacha akiba...

Usitafute baki nae huyo huyo... or else watakukula kimasihara...



Cc: mahondaw
Smart911 acha kutuharibia tulio single bro.

Mlango ulishafunguliwa kwajili ya wengine mbona unataka kuufunga tena ?

Chill brother.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom