Kabla hujaweka nitaomba unitumie pm kwanza hilo tangazo nijaribu kutumia hiyo comparative advantage.Nataka kuweka thread ya kutafuta mume mie


Nyie mliooa ndio tunawataka watu wazima wenzetu ambao hawajaoa kusumbuana tu utoti mwingi
Hiyo avatar sifanani nayo hata kidogo niliiba tu kwa picha za watuMimi Sijaoa bwanaa
Hivi Kwanini walete usumbufu kwa mrembo Kama Wewe (avatar tuu inaonesha) hawajui Wewe ni precious metal to keep hahahh
I'm on that good kush and alcohol
Hahahah usijaliKabla hujaweka nitaomba unitumie pm kwanza hilo tangazo nijaribu kutumia hiyo comparative advantage.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaa Oohky ,Hiyo avatar sifanani nayo hata kidogo niliiba tu kwa picha za watu

Siko serious bwanaAhaaa Oohky ,
ikitokea umeweka hilo tangazo la Mume Mimi Sita sita kuzama kwenye hicho kinyang'anyiro![]()
Pole though kwa ku-break Up
I'm on that good kush and alcohol


chit chat hii nawekaje bango na mtaani wamejaa
Smart ridhiki ikiisha imeisha bwana huwezi lazimisha hata kama mlifanya vitu vingi vipi
Kwa hiyo wataka kusema ridhiki ni mafungu 7... na ushakula yote 7 bila kuacha akiba...
Usitafute baki nae huyo huyo... or else watakukula kimasihara...
Cc: mahondaw




Smart bwana mimi kuachika nitake mwenyewe apa tunachangamsha makapuku hivi naanzaje kuweka thread mke wa mtu mie na wajukuu juuAhahahah Aaaahhh me nlijua upo SeriousSiko serious bwanachit chat hii nawekaje bango na mtaani wamejaa

