Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ila unajuaga mzee wake shunie kwa kupanick au umemsahauOoohhh
Nakumbuka dear

unakumbuka siku ile tukaenda kuchekea whatsapp
Ila unajuaga mzee wake shunie kwa kupanick au umemsahauOoohhh
Nakumbuka dear

unakumbuka siku ile tukaenda kuchekea whatsapp
Naongeaa na mwenye simuNaona unaongea na simu sio mimi byee
Mimi huyu woiiii mimi chuma bwana sijisifii weka post niliyoaga usinilishe maneno





HahahahahIla unajuaga mzee wake shunie kwa kupanick au umemsahauunakumbuka siku ile tukaenda kuchekea whatsapp
Hahahahah
Usinikumbushe jamani!! Mzee wako mnajuana kwa vilemba!!


Ile siku ulipanick sana mimi nilikuwa nacheka tuHahahahahahSakayo kwahiyo yule msukuma hata mimi nilikuwa simsalimii
Kweli toka tukuseme khaaaa
Ile siku ulipanick sana mimi nilikuwa nacheka tu








Halafu hawajuagi ni utaniKumbe watu mkibebishana humu kuna watu hawapendi
Haya acha tuwe mama paroko sasa
Eti sakayo peke yako ndio ulikua unanisalimiaHahahahahah
Acha kabisaa my dear



nikikumbuka hapo tu nacheka sana mimi sakayo huyuhuyu ninayemjua
Hahhaha mwepesi kupanick na mwepesi kuomba radhi
Huyu mzee alijua kuninyooshaaa
Wanapanick kabisa kwani hata kama watu wanakulana inawauma niniHalafu hawajuagi ni utani