Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ila unajuaga mzee wake shunie kwa kupanick au umemsahau [emoji1787][emoji1787] unakumbuka siku ile tukaenda kuchekea whatsapp
Hahahahah
Usinikumbushe jamani!! Mzee wako mnajuana kwa vilemba!!
 
Sakayo kwahiyo yule msukuma hata mimi nilikuwa simsalimii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kweli toka tukuseme khaaaa
 
Sakayo hii nyimbo naipenda ukiniuliza naipendea nini maneno yake uwe na babe sasa unamchezea okonkwo wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom