Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nioe tu wanaume wenyewe mko wachache
Exactly tuk wachache

Hapa Bado ndio itafika ile kipindi Wanawake Saba kwa Mwanaume mmoja, kwenye bible zenu huko wameandika

But Sina Mke humu na Wala Sijaoa kabisa, isije ikawa najikosesh liziki kijinga jinga

I'm on that good kush and alcohol
 

Jitibu tuu dada
Yaani dawa ni chungu inawasha kweli corona imetushika yaani nikienda page ya mange nikitoka lazima nichemshe ninywe tena nikiwa na kikohozi ndio nazidi kuchanganyikiwa

Toka jana natafuna vitunguuu sijawahi jamani leo nimetafuna vitunguu nikatengeneza matangawizi limao na mdarasini kunywa
 
Exactly tuk wachache

Hapa Bado ndio itafika ile kipindi Wanawake Saba kwa Mwanaume mmoja, kwenye bible zenu huko wameandika

But Sina Mke humu na Wala Sijaoa kabisa, isije ikawa najikosesh liziki kijinga jinga

I'm on that good kush and alcohol
Nyie mliooa ndio tunawataka watu wazima wenzetu ambao hawajaoa kusumbuana tu utoti mwingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom