Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Tiba za coronaNini tena hicho jamani love!
Tiba za coronaNini tena hicho jamani love!
Mbona mtihani huuEbu weka picha bwana



HahahahahaTiba za corona
Sasa nakohoa kidogo nifanyeje jamani hospital ukienda hata kama haumwi corona wanakupeleka kwa wenye coronaHahahahaha
Utakatika utumbo ujue
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama nyie na mimi nipate mume jfMbona mtihani huu
Mke wange anakijua kifua changu
Yup humu
I'm on that good kush and alcohol
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama nyie na mimi nipate mume jf
Sasa nakohoa kidogo nifanyeje jamani hospital ukienda hata kama haumwi corona wanakupeleka kwa wenye corona







Ngoja wenye manywele yao wakusikie
Nioe tu wanaume wenyewe mko wachacheHahahahh hatujakutana humu, Kwanza Yeye Alikua haijui JF
Kama bado, Me nakuoa Ndoa ya mitala unasemaje ? Unakua Bi mdogo
I'm on that good kush and alcohol
Ukishapelekwa uko karantini na kulivyo na hali yake unaweza kufa bila kuumwa huo ugonjwa
Tatizo linaanzia hapo
Ahhahaa
Ukishapelekwa uko karantini na kulivyo na hali yake unaweza kufa bila kuumwa huo ugonjwa







Exactly tuk wachacheNioe tu wanaume wenyewe mko wachache


Jitibu tuu dada


Yaani dawa ni chungu inawasha kweli corona imetushika yaani nikienda page ya mange nikitoka lazima nichemshe ninywe tena nikiwa na kikohozi ndio nazidi kuchanganyikiwa
Nyie mliooa ndio tunawataka watu wazima wenzetu ambao hawajaoa kusumbuana tu utoti mwingiExactly tuk wachache
Hapa Bado ndio itafika ile kipindi Wanawake Saba kwa Mwanaume mmoja, kwenye bible zenu huko wameandika
But Sina Mke humu na Wala Sijaoa kabisa, isije ikawa najikosesh liziki kijinga jinga
I'm on that good kush and alcohol








Nataka kuweka thread ya kutafuta mume mie