Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Aki sitawezana na tiktok





Au upo na bae wako mnacheza mnabadilishana nguo vingine vinipite acha niwe mtazamaji ujue unakuwa nusu chizi
Aki sitawezana na tiktok





Au upo na bae wako mnacheza mnabadilishana nguo vingine vinipite acha niwe mtazamaji ujue unakuwa nusu chizi
Inawezekana eti hivi huyu mzee wake shunie ni muhenga mbona anapendaga uchochezi lakiniNi mkarimu sana huyo mzee, umri nao unachangia




Yaani siku hizi kila kitu kinaogopesha kidogo unajikuta kwa dada mangeMimi sijawahi waelewa kabisaa jamaniAu upo na bae wako mnacheza mnabadilishana nguo vingine vinipite acha niwe mtazamaji ujue unakuwa nusu chizi





HahahahahInawezekana eti hivi huyu mzee wake shunie ni muhenga mbona anapendaga uchochezi lakini
Akikuitikia mwambie na mimi namsalimia jirani muhandsome nimemkuta sehemu anadaiwa picha







Mimi sijawahi waelewa kabisaa jamani
Naonaga kama wenzangu wapo dunia ingine


Nikikutaga viclip vyao nabaki kushangaa kama mshamba
Anaweza kuwa muhenga kuna kipindi jukwaa la siasa kulikuwa na thread ya rais Kabila akawa anaulizwa we mzee si kabila wewe ebu tia neno kama kawaida yake akatoa kichekoHahahahah
Mimi najuaga ni mhenga juu ya avatar yake
Kwakweli nitamuuliza alikuwa anaombwa picha gani na warembo wa jf
Daaahhh
HahahahahAnaweza kuwa muhenga kuna kipindi jukwaa la siasa kulikuwa na thread ya rais Kabila akawa anaulizwa we mzee si kabila wewe ebu tia neno kama kawaida yake akatoa kicheko
Muulize hebuKwakweli nitamuuliza alikuwa anaombwa picha gani na warembo wa jf
Wakat niko form two nlikua nachekwa Nina eti manywele



Hahahahah
Ni mhenga atakuwa
Ngoja wenye manywele yao wakusikie
Ebu weka picha bwanaWakat niko form two nlikua nachekwa Nina eti manywele
I'm on that good kush and alcohol
Nini tena hicho jamani love!