Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Hapo baba wawiliAcha tu mjomba,pale nmeingia mzima mzima
#KilaSikuNiValentine
Hata sijui tulikuwa tunaongelea nini![]()
Kisanga chake kuwafunga biashara 3 au mimi sijaelewaHii simbaaa walahiiii ni kisangaaa
Mmh baba wawili ebu acha kuwasingizia watoto wako wa kudownloadwawili hao walikuwa wanachezea simu
Ile namba ya Sepanga uliyompatia, ndio ilimaliza kila kitu
Hujaaangalia mpiraaa kingamuzi badoKisanga chake kuwafunga biashara 3 au mimi sijaelewa




Anko nan anatufitinishaaaaa .......duh, acha tu binamu, ile namba naipiga si anapokea Gigymafweza.! Mjombaangu si mtu makini kabisa lakini nitafanyaje sasa nililenga mwezi nikapiga nyota.
Mjomba wako obe hatumagiii pesa
Ha ahahhahaha. Yaani utasema kapigwa ngumi ya mgongo kifua mbele sanaMjomba umeamua kujimwambafayi kabsa![]()
Unasahau ulichofanyiwa jana usku wa kuanzia saa tano na dk 15 ...tukio nmelipata kwenye gallery ya binti kisura wakkoooHa ahahhahaha. Yaani utasema kapigwa ngumi ya mgongo kifua mbele sana
Hujaaangalia mpiraaa kingamuzi bado![]()



Nimeangalia jf kwenye jukwaa la sports