Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ya moyoniiiYa kulazimishwa![]()
Mjomba ako achana nae aliniambia jana angeniletea nikaona kimyaMbona mjomba alikuwa anaulizia menu ya T-Pesa, atafanya muamala muda sio mrefu
Sema kweli jamaniAcha tu mjomba,pale nmeingia mzima mzima
#KilaSikuNiValentine
Sanaaa na mto wanguUnalipendagaa balahaa

Hahahahahahaha npo nakaribiaMjomba ako achana nae aliniambia jana angeniletea nikaona kimya
Ebhu nione pichaaSanaaa na mto wangu![]()
Sasa ijumaa si janaHahahahahahaha npo nakaribia
SawaEbhu nione pichaa
Na leo si upoooSasa ijumaa si jana
Hapana nimeshatoka kesho naingia jioniNa leo si upooo
Mahesabuu yameendaa vbayaHapana nimeshatoka kesho naingia jioni
PoleMahesabuu yameendaa vbaya
Mmmmmh mbona nilikosea maksudu namba ya mwisho anko ka mchawii yule

binamu sio yuleKuhusu nini shunieSema kweli jamani
Kuhusu nini shunie
Hata sijui tulikuwa tunaongelea niniJamani baba wawili mbona unataka kunirudisha nyuma tena

