ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Alafuu uko wap kwani ?Niwacheeeeee
Umeona nimelenga sehemu yako
Aiseee,,, hii ni akili ya kijani wallah, usisahau kale ka meza kenye rimoti nyingi nyingSasa jee unakubalije kuachika kifwala mwanaume ni kiumbe kimoja chenye tamaa sana hata akiwa na wanawake 10 banana hapohapo
Sent from my iPhone using Tapatalk
Jambo veveAiseee,,, hii ni akili ya kijani wallah, usisahau kale ka meza kenye rimoti nyingi nying
Sasa hao wawili unaowajua kuna wasiojulikana ujue ndio tunawaingiza kwenye 10
MjombaAiseee,,, hii ni akili ya kijani wallah, usisahau kale ka meza kenye rimoti nyingi nying
Home sweet homeAlafuu uko wap kwani ?
Hiyo hashtag yangu kabisaaSasa hao wawili unaowajua kuna wasiojulikana ujue ndio tunawaingiza kwenye 10
#tutabanana#hapahapa
Sijambo jirani, shikamoo
Hacker huyo mjombaaMjomba
Duhh...Sasa hao wawili unaowajua kuna wasiojulikana ujue ndio tunawaingiza kwenye 10
#tutabanana#hapahapa
nikiwazaga machozi yananilenga mimi 
Ungemalizia home swty babeeeeHome sweet home
Aiseee,,, hii ni akili ya kijani wallah, usisahau kale ka meza kenye rimoti nyingi nying



Nimecheka kwa nguvu baba wawili wala kijani haiusiki hapo nipo mzima na akili zangu timamu meza ipo tupu kabisa na rimoti zake
Marhaba jirani yangu,weekend yako inaendaje huko?
Ukiukubali huu msemo hakuna cha peke yako labda labda kaburi pekee utaishi kwa amani sana