Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nimecheka kwa nguvu baba wawili wala kijani haiusiki hapo nipo mzima na akili zangu timamu meza ipo tupu kabisa na rimoti zake View attachment 1366484


Hahahha hapana nipo juu ya mawe
Bado masaa yake najua,baadae patapendeza
#asiionehiipostmjomba



NishajuaaHacker huyo mjombaa
Mjomba mimi na wewe hakiharbiki kituNishajuaa
Nmelionaa sofaa utakuwa umekaa kwenye sofaa inalopendagaaNimecheka kwa nguvu baba wawili wala kijani haiusiki hapo nipo mzima na akili zangu timamu meza ipo tupu kabisa na rimoti zake View attachment 1366484
Walahiiii nipe makopa
Walahiiii nipe makopa
Ulipo hapo najua yule kimwana yupo ...unapata raha sana sku hizMjomba mimi na wewe hakiharbiki kitu
Mbona mjomba alikuwa anaulizia menu ya T-Pesa, atafanya muamala muda sio mrefuHahahha hapana nipo juu ya mawe![]()
TaratibuuuuuuuMjomba umeamua kujimwambafayi kabsa![]()
Mjomba wako obe hatumagiii pesaMbona mjomba alikuwa anaulizia menu ya T-Pesa, atafanya muamala muda sio mrefu
Acha tu mjomba,pale nmeingia mzima mzimaUlipo hapo najua yule kimwana yupo ...unapata raha sana sku hiz
Ile namba ya Sepanga uliyompatia, ndio ilimaliza kila kituMjomba wako obe hatumagiii pesa
Mmmmmh mbona nilikosea maksudu namba ya mwisho anko ka mchawii yuleIle namba ya Sepanga uliyompatia, ndio ilimaliza kila kitu
Unalipendagaa balahaaNdio ndio