Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ashatushtukiaaa sio leo mchana ananimbia kama nina nusu gharama ya ile pesa aliyosema nimpe mama ashura alafu akifika usku atanirudishia mara adai hajatembea na wallet nikaona ujinga sijamjibu
[emoji23][emoji23][emoji23] kuwa makini binamu aisee, halazi damu yule
 
Napita tu kuwasalimia ndugu zangu ndani ya jukwaa hili adhimu.

Pole sana Shunie kwa msiba, duniani tunapita tu nawashangaa sana wanaohangaika kujenga njiani. Poleni sana na family.

Hivi sijawaambia hili jambo leo. Nisameheeni. Nilikuwa nimeenda court leo ndo natoka, tatizo ni lile lile sema hakimu ndo kubadilishwa.
Nitawaambia tena tarehe tajwa
 
Back
Top Bottom