ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Hahahah,nikiwa mkubwa nataka kuwa kama binamu Obe


mmm Bora ubaki kuwa mdogo tuIli uwakule wote kwa pamoja ila binamu kidume bwana na kinafaidi




haya nyie jazaneni ujingaHahahaha binamu amekuwa mpira wa kona, kila mtu anautakaHahaha anashindwaje kufurahia wewe mtu anagombaniwa kila mtu anamvutia kwake
Ashatushtukiaaa sio leo mchana ananimbia kama nina nusu gharama ya ile pesa aliyosema nimpe mama ashura alafu akifika usku atanirudishia mara adai hajatembea na wallet nikaona ujinga sijamjibu


kuwa makini binamu aisee, halazi damu yuleHapana shunie, situmii ttcl mimiNdio bwana ebu tuma si ndio menu yenu hiyo ya t pesa
Eti baba wawili wewe si unatumia ttcl hiyo sio menu ya t pesa ningendako
Kuna mtu amehack hii account jirani




kumbe sio kweli
Hahahahhahahh