Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hivi kwa hili zali naachajeeee kwa mfanoNaona mjombaaa
navyokujua mjombaa utakuwa unatembea kifua mbele kama umedundwa ngum ya mgongo![]()
Shunie umemuona lakin?
Hivi kwa hili zali naachajeeee kwa mfanoNaona mjombaaa
navyokujua mjombaa utakuwa unatembea kifua mbele kama umedundwa ngum ya mgongo![]()
Niko na mtoto mlitoooo
Naona mjombaaa
navyokujua mjombaa utakuwa unatembea kifua mbele kama umedundwa ngum ya mgongo![]()
Hivi kwa hili zali naachajeeee kwa mfano
Shunie umemuona lakin?




Ashatushtukiaaa sio leo mchana ananimbia kama nina nusu gharama ya ile pesa aliyosema nimpe mama ashura alafu akifika usku atanirudishia mara adai hajatembea na wallet nikaona ujinga sijamjibuKwani mjomba ile siku tulikubariana vipi?
kazi ya binamu hiyo,alipe kodi halafu aishie kutizama tu![]()
Hahaha anashindwaje kufurahia wewe mtu anagombaniwa kila mtu anamvutia kwakeNdio ndio shunie
Ndio maana binamu akija hapa, shangwe kama lote
Hapana bwana mimi nakununiaga vya nje ya makapukuWewe hushindwiiiii![]()
Hahahahah ebhu ukooooo ...vya majuzi si uliviletaaa hukuHapana bwana mimi nakununiaga vya nje ya makapuku



Ndio bwana ebu tuma si ndio menu yenu hiyo ya t pesahii kweliii ?
Hahahahah ebhu ukooooo ...vya majuzi si uliviletaaa huku![]()



Wewe si ndio ulivianzisha kuviongelea
Najaribuuu hapa inagomaaNdio bwana ebu tuma si ndio menu yenu hiyo ya t pesa
Eti baba wawili wewe si unatumia ttcl hiyo sio menu ya t pesa ningendako
Yaani sijui nani kamuambukiza hako katabia kachafu jirani yanguBaba wawili kama nakuona unavyomuonea wivu binamu obe
Sent from my iPhone using Tapatalk


Mmmmmmh