Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,906
Pole sana shunie!!
Asante baba wawili wangu vipi lakini uko poa
Sent from my iPhone using Tapatalk
Pole sana shunie!!



Baba wawili kama nakuona unavyomuonea wivu binamu obe
Ulipooooo kunywaa Heineken nitalipaaaaa

Walininyimaa rambirambii hapa
Salama jirani..familia haijambo?





Chizi weweBaba wawili kama nakuona unavyomuonea wivu binamu obe
Sent from my iPhone using Tapatalk


binamu yangu anafaidi sana kwa kweli
Habari zenu wandugu..
Ndio shunie, mimi sijambo kabsa, habari za kwako?mambo yako yanaenda?Asante baba wawili wangu vipi lakini uko poa
Sent from my iPhone using Tapatalk
binamu yangu anafaidi sana kwa kweli
Salama bro, kwema huko?Habari zenu wandugu..
Ndio shunie, mimi sijambo kabsa, habari za kwako?mambo yako yanaenda?
HahahahaUnatamani hapo ungekuwa wewe
Sent from my iPhone using Tapatalk








Nmefurahi kusikia hivyo shunie,Mungu ni mwema kila wakatiNamshukuru Mungu kwakweli naendelea vizuri
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hivi ttcl wana mambo ya mpesa auTuma hela kwanza ndio ninywe
Sent from my iPhone using Tapatalk



Nakutaniaaa usinipe tarakaaaaaaKhaaaa
Kwahiyo uliomba rambirambi
Sent from my iPhone using Tapatalk
Uko sahihi kama mojaNdiooo
Au nimekosea jamani
Sent from my iPhone using Tapatalk
Niko poa pia bro, Tumshukuru MuumbaKwema broh.. Nadhani nawe pia uko poa