Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,639
.....my telemundo, the special one nnakumiss kila dakika usiwasililize mabazazi ambao hata saa hawana na hawajui dakika inakuwaje nnapokumiss
Unamtakaa mjombaa nini?
Ngoja niuchukue ushaur wako jiran, wanasema kizuri kula na jirani yako


@husna muba please comeeeee.....my telemundo, the special one nnakumiss kila dakika usiwasililize mabazazi ambao hata saa hawana na hawajui dakika inakuwaje nnapokumiss
Hahahaha binamu amekuwa mpira wa kona, kila mtu anautaka
Anko ujuee mimi na wewe siwez kuwa mbaya kuna mtu anahack simu yangumkwepu jr u khali gani Maalim hebu nitafutie moudgulf aje maana niliodhani ni ndugu zangu wanachafua jina langu ambalo nimetumia waganga kulijenga angalau lifahamike.
Ndugu zangu wenyewe ndo hawa hawa Lee na ningendako ambao kama unamjua mtu asiyejulikana nitafute kwa namba ya ttcl tupange mkakati
.....nilijua tu simu yako imehackiwa maana sio kwa kuniharibia kwa jirani yako ambaye bahati mbaya sana mimi nnampenda mno juzi tu nimemnunulia pipikoo ajikinge na corona






He'e tatizo gani tena?Napita tu kuwasalimia ndugu zangu ndani ya jukwaa hili adhimu.
Pole sana Shunie kwa msiba, duniani tunapita tu nawashangaa sana wanaohangaika kujenga njiani. Poleni sana na family.
Hivi sijawaambia hili jambo leo. Nisameheeni. Nilikuwa nimeenda court leo ndo natoka, tatizo ni lile lile sema hakimu ndo kubadilishwa.
Nitawaambia tena tarehe tajwa

Mfano ni wa nne....wife, usiwasikilize hawa, hivi ukiwa mke wa pili ndo sababu ya wao kukupa maneno ya presha!?
Nimetoa mfano tu wala sio kweli.
Basi wengine wataamini kumbe hii mke wa pili ni mfano tu
Alikamatwaa gest na jirani yake ni mfano kwa madai yake
.....my telemundo, the special one nnakumiss kila dakika usiwasililize mabazazi ambao hata saa hawana na hawajui dakika inakuwaje nnapokumiss

me sikuamini ujue haya nawewe jipendekezage tu Kama anko wakoAnko ujuee mimi na wewe siwez kuwa mbaya kuna mtu anahack simu yangu






Maria ni wako usiniletee kesiiii...mm hapa nimebakiza ttcl tu na hana sasa ukimpa umenunuaa kesiiiiNilitaka kushangaa sana kwa kweli, watu wabaya sana. Inawezekana Maria kachukia ulichomfanyia valentine's day ndo akahack.
Jaribu kumtafuta nimekutana naye anatoka kununua 2p aka morning after pill. Alikuwa anauliza kama ninajua kuchomoa mimba.
@husna muba please comeeeee
Ngoja niuchukue ushaur wako jiran, wanasema kizuri kula na jirani yako![]()

umeona ee