Makapuku Forum

Makapuku Forum

Napita tu kuwasalimia ndugu zangu ndani ya jukwaa hili adhimu.

Pole sana Shunie kwa msiba, duniani tunapita tu nawashangaa sana wanaohangaika kujenga njiani. Poleni sana na family.

Hivi sijawaambia hili jambo leo. Nisameheeni. Nilikuwa nimeenda court leo ndo natoka, tatizo ni lile lile sema hakimu ndo kubadilishwa.
Nitawaambia tena tarehe tajwa

Binamu yangu mimi mzee wa kugombaniwa asante binamu nimeshapoa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom