Makapuku Forum

Makapuku Forum

Rapa chipukizi wa Marekani POPSMOKE10 amefariki dunia kwa kupigwa risasi nyumbani kwake Hollywood Hills, Los Angeles siku ya leo Februari 19, 2020.

Taarifa zinasema rapa huyo alivamiwa na watu wawili ambao walivaa vinyago usoni na ndiyo wanadaiwa kufanya tukio hilo.
IMG_20200219_203733.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rapa chipukizi wa Marekani POPSMOKE10 amefariki dunia kwa kupigwa risasi nyumbani kwake Hollywood Hills, Los Angeles siku ya leo Februari 19, 2020.

Taarifa zinasema rapa huyo alivamiwa na watu wawili ambao walivaa vinyago usoni na ndiyo wanadaiwa kufanya tukio hilo. View attachment 1363237

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa watu na bunduki kama manat
 
Rapa chipukizi wa Marekani POPSMOKE10 amefariki dunia kwa kupigwa risasi nyumbani kwake Hollywood Hills, Los Angeles siku ya leo Februari 19, 2020.

Taarifa zinasema rapa huyo alivamiwa na watu wawili ambao walivaa vinyago usoni na ndiyo wanadaiwa kufanya tukio hilo. View attachment 1363237

Sent using Jamii Forums mobile app
RIP Pop Smoke.. Ni wivu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom