Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wahaya kwa kujisifia imepitiliza..leo nimeiskia hii...............Matangazo ya vifo ...Ndugu Datius Rweyemamu wa masaki anasikitika kutangaza Kifo cha mwanae sophia Rweyemamu wa oysterbay kilichotokea jana America Baada ya Kupaliwa na Burger akiwa anaendesha Buggati yake mpya la bilioni 4 likiwa full Tank Msiba utafanyika kwa aunt yake australia ..Taarifa ziwafikie ndugu zake wote wa singapore ;Dubai;India;Ugiriki pamoja na house girl Clara aliyekua China kwa shopping ya vyakula vya Mbwa
Hahahaaa....
Ngoja wajee...
 
b00a26e05c5a1b0ae4d421decb9c163a.jpg
KIMBA SC
Vyura FC
Mkia FC
Simbwa FC
Matopeni FC
Wamchangani Fc
Umbea Sc
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom