Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wahaya kwa kujisifia imepitiliza..leo nimeiskia hii...............Matangazo ya vifo ...Ndugu Datius Rweyemamu wa masaki anasikitika kutangaza Kifo cha mwanae sophia Rweyemamu wa oysterbay kilichotokea jana America Baada ya Kupaliwa na Burger akiwa anaendesha Buggati yake mpya la bilioni 4 likiwa full Tank Msiba utafanyika kwa aunt yake australia ..Taarifa ziwafikie ndugu zake wote wa singapore ;Dubai;India;Ugiriki pamoja na house girl Clara aliyekua China kwa shopping ya vyakula vya Mbwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom