sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Sio kimba fc.... Ni simba fcKimba Sc
...........
Au mbumbumbuu fc
Sio kimba fc.... Ni simba fcKimba Sc
...........
Tulieni basi.Hawezi kutulia leo
Wenye bahati zao washakuwahi mremboI love you too hubby

Sio kimba fc.... Ni simba fc
Au mbumbumbuu fc
Asante shem wangu kwa maneno yako matamu.Haya mambo sio mazuri kabisaaa, bora yakupitie kushoto shem angu
Inauma sana.
Asante mpendwa shemeji yangu,niko desperate sana baada ya kupigwa chini na mtumishi.Heshima kwako shem Patience123 popote ulipo. Nautambua uwepo wako.
NdioWenye bahati zao washakuwahi mrembo![]()
Wewe nawee, sema tu ukweli kama umeshaachwa ili tujue. Kwenye birthday yako nkuletee zawadi ya sabuni za kutosha.ushaanza uchawi

Duh! Pole sana shem. Mungu atakusaidia utampata mwingine, kwani upo tayari kuwa na mwingine?Asante mpendwa shemeji yangu,niko desperate sana baada ya kupigwa chini na mtumishi.
Aisee.Asante mpendwa shemeji yangu,niko desperate sana baada ya kupigwa chini na mtumishi.
Hamna hela yakuwalipa nyie ndo maana juzi waligoma kwenda SongeaInauma sana.
Hawa jamaa sijui wanakula mishahara ya kazi gani.
Wewe nawee, sema tu ukweli kama umeshaachwa ili tujue. Kwenye birthday yako nkuletee zawadi ya sabuni za kutosha.
![]()
![]()
![]()
mimi nitanunua sabuni ya UNGA.Now, I can talk MkurugenziWashatangaza ubingwa
![]()
![]()
![]()
.........

Ila hamna shida msimu ujao nitakuwa chamanzi.Hamna hela yakuwalipa nyie ndo maana juzi waligoma kwenda Songea
Asante mpendwa shemeji yangu,niko desperate sana baada ya kupigwa chini na mtumishi.
