Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Inafurahisha sana kuona jinsi vijana wachovu wanavyopigwa chiniItakuwa kaachwa huyo, mbona ameanza kupanic mapema hivyo.
Hakyamungu watu mwaka huu lazima wabugie sumu ya kunguni.
Inafurahisha sana kuona jinsi vijana wachovu wanavyopigwa chiniItakuwa kaachwa huyo, mbona ameanza kupanic mapema hivyo.
Kamusi inakuhusu sana kaka.Ugoni. Ndo nn
Achangamkie deadballs aaache manenoUnamshauri nini huyo kijana?
Ninayo ya akiba kama utahitaji uniambie.Nokia 3310
Hahahahaaa....Brother mimi kwetu nimeaga.
Kwanza hii ndiyo kazi inayoniweka mjini,watoto wananitafuta wenyewe.
hahah nacheka kwa dharauAmeachwa kwenye mataa.
Hamna mkate mgum mbele ya chai
brother huko aliko sijui ana hali gani muda huu.Ulikuwa na nani vile?Eti????? Njoo tufarijiajee mpendwa.....
Subiri kwanza weekend iishe.
![]()
![]()
![]()
![]()
kampa kampa tena
Mende tena? Namuogopa sana huyo mdudu shemeji.Aisee.
Pole sana shemeji.
Lakini mbona humu mamende wapo wengi tu.
Achana na mchungaji.
Inafurahisha sana kuona jinsi vijana wachovu wanavyopigwa chini![]()
![]()
![]()
![]()
Hakyamungu watu mwaka huu lazima wabugie sumu ya kunguni.
Wewe cheka tu.hahah nacheka kwa dharau

Nani tena?Usijali brother ataleta mrejesho mwenyewe hapa siku si nyingi kama alivyofanya yule wa mwanzo.....![]()