Makapuku Forum

 
Kwako wewe sijiweziiiiiiii
Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nikachoropoka
Acha nikwambie siri ya moyo wangu
Nifikishe mpaka juu mawinguni
Babe nipe mm tu vilivyo uvunguni
Ifunanya ifunanya
Kama koloni sina
Japo nizikwe na ww
Acha nikwambie tu siri ya moyo wangu


Hata nikificha mboni zitaniumbua
Babe na hili baridi nipo nakumbatia mito tu
nakumiss
utajua tu leo

Ona tunavyokuja kumpa saport ankoo wetuView attachment 1062760
Kama koroni sina hata moyoni sina
zaidi ya wewe
Chaguo lingine sina
Ndio maana nakufata nizikwe na wewe
Ifunanya
Ifunanya
Ifunanya
Ifunanya
Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nkachoropoka

Hile kutapa tapa kama mufa maji nkakorofoka

Nikawa na chembe ya ukicha aah
Mikasa ya mapenzi inakorokocha
Simanzi kutwa kuccha sijiwezii
Haya mambo haya chaaa



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…