Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ninakumiss binamu, sana tu yaani kama isingekuwa Kwaresma basi ningekuagizia mapochopocho na madikodiko ijumaa hii ufurahi. Lakini ndo hivyo tena, Kwaresma imekubana.
Ukifungulia tu nikumbushe
Quaresma alikuwa ananikosha sana enzi yupo fc porto alipoenda barca, inter na Chelsea alikuwa w hovyo tu, afadhali kidogo quaresma wa besiktas..

Sijui niko sawa, sijui ndio hii sigala ya kufungia kwenye rizla ishakaa kwenye medulla oblangata!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Happy furahiday wadau na wale wazee wa swala basi tukimaliza kupiga mkeka tunakutana pale kwenye biriani

Kazi njema, ndugu yenu nitarudi baadaye nataka kusingizia ugonjwa nitoke mapema, nawaza ugonjwa gani bosi wangu hajasikia toka kwangu
Leo nilipiga na juice ya tende, kitumbo kikawa kama bichwa la ankoo padlocks akisifiwa ujinga..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shunie kwani huko ni kupatwa kwa Shangazi au.?
Embu njoo bc tumekumisi wanao

Sent using Jamii Forums mobile app
Shunie kafungiwa kigamboni jamani!! Hapa kwa jirani yangu kuna binti chibonge kama shunie akee kaja kumliwaza jamaa namuona anashindia jezi za jamaa yangu, mara apige jezi ya super eagles.. Juzi kavaa sendoz kubwa mguu inabidi uongezwe mara mbili.. Huwa tunakutana banda la chipsi..

Mie nimejisemea tuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom