makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,893
- 104,126
Leo nilipiga na juice ya tende, kitumbo kikawa kama bichwa la ankoo padlocks akisifiwa ujinga..
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo ya kupiga piga mapicha yamenipitia kando, toka mwaka 2016 nilipopiga picha kwenye harusi ya jamaa yangu mpaka leo hii bado sijapga tena pic, insta nahangaika kusoma vya watu, facebook kabisa nimeipa kisogo.. WhatsApp dp niliyoweka toka mwaka juzi inatamba mpaka leo, watu wananisumbua nibadili..
Hahaa.. Sasa mie sijui mbunifu kwenye nini, maana ni kiburi hatar.
Afrika ina akiba ya kutosha ya madikteta, baadhi nimewaweka kwenye uzi wa likes, nitawamalizia wengine hapaMoud usisahau kuweka na madikteta wa Africa
Quaresma alikuwa ananikosha sana enzi yupo fc porto alipoenda barca, inter na Chelsea alikuwa w hovyo tu, afadhali kidogo quaresma wa besiktas..
Sijui niko sawa, sijui ndio hii sigala ya kufungia kwenye rizla ishakaa kwenye medulla oblangata!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa.. Hapana hii leo nimeinywa kurudishiwa pale nilipopanguza ila sijainywa kwa kutenda kazi....ha hahaha hahahah!
Ila mdau juicsi ya tende tena, au una miadi ya kazi za nje?
Alitekwa na mtekaji dagaa, angekutana na mtegaji papa basi tena tungemsahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Obe habari za siku kiongozi...angekutana na mtekaji kambale ndo hadi watu wa swala na maombezi wangejua. Si unajua mtekaji kambale anamtafuta kambale iwe kwenye mchanga, maji chumvi, topeni aau hata kwenye majaruba